Magari yakiwa kwenye Foleni kubwa Mchana wa leo kutokana na uzembe wa madereva wa Daladala kwenye kituo cha Magomeni Moroco Hoteli.
Kutokana na urefu wa Foleni hiyo,Magari mengine yalilazimika kuingia upande mwingine wa barabara na kuendelea na safari zao.
Hawa nao ndio wanaingia upande mwingine wa barabara.
Eleza vizuri, mbona magari yamekwisha toka Morocco hotel na tatizo linaonekana lipo maeneo ya Mkwajunu ama Studio.
ReplyDeleteYanayoelekea Morocco Hotel ni shwari tu; unalijua jiji kweli?
Hao wanaotanua upande wa pili ni uhuni tu.
ReplyDeleteAskari trafiki muko wapi, mbona hata jumapili munakuweko barabarani kucheki leseni?