Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akimshukuru Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni
ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia) baada ya kupokea hundi yenye
thamani ya Sh. Milioni 40 msaada uliotolewa kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa
Usalama Barabarani inayotarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto
ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini, Naibu Kamishna, Mohamed
Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika katika Ukumbi mdogo wa Wizara hiyo,
jijini Dar es Salaam leo. Picha na Felix
Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi.
Naibu
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na
waandishi wa habari baada ya kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya
maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji
wa Kampuni ya Puma Energy nchini, Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda
kwa Usalama Barabarani inatarajiwa kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto
ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga.
Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es
Salaam leo.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya
Nchi, Pereira Ame Silima (katikati) akizungumza na waandishi wa habari baada ya
kupokea hundi ya Sh. Milioni 40 kwa ajili ya maandalizi ya Wiki ya Nenda kwa
Usalama Barabarani, kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Puma Energy nchini,
Philippe Corsaletti (kulia). Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inatarajiwa
kufanyika wiki ijayo, jijini Arusha. Kushoto ni Mkuu wa Kikosi cha Usalama
Barabarani, Naibu Kamishna, Mohamed Mpinga. Makabidhiano hayo yalifanyika
katika ukumbi mdogo wa Wizara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. Picha zote na Felix Mwagara, Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...