Wiki hii Airtel FURSA imewafikia Akilimali Group, kikundi kinachojishughulisha na utengeneza sabuni za maji na kuziuza mitaani maeneo ya Temeke jijini Dar es Salaam. Ingia: www.airtelfursa.com na wewe ukamate fursa na Airtel.
Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya kujiendeleza kibiashara na ujuzi utakoawawezesha kuimarisha biashara zao.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...