Wanafunzi waliosoma katika Shule ya Msingi Mbuyuni iliyopo jirani na Kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar es Salaam wakiwa katika sherehe ya kuuaga mwaka 2015 na kuukaribisha mwaka 2016 katika mgahawa wa Samaki-Samaki uliopo Posta mpya jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Katika hafla hiyo waliagana namwenzao anayeishi nchini Marekani, Emma  Kasiga ambaye anatarajiwa kuondoka Februari 28. (Picha na Habari Mseto Blog)
Wadau wakipata msosi.
................ilikuwa ni siku ya furaha.
Marafiki wakiwa katika hafla fupi ya kupongezana kwa kuingia mwaka 2016.
Tumaini Mgaya akiwa na Alex Chalamila.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...