Askari polisi mjini Iringa akiwa ameshika kisu baada ya kufanikiwa kumnasa kijana Mohamed Iddy (18) mkazi wa mjini Iringa kutokana na kutishia maisha ya wakazi wa mji wa Iringa akiwa katika shughuli yake ya kuomba ambapo hudaiwa kuhatarisha maisha ya wananchi kwa kuwafukuza kwa kisu pindi anaponyimwa pesa ,
Kijana huyo omba omba tishio akipelekwa kituo cha polisi pamoja na kisu anachotumia kutishia wananchi wakati akiomba pesa kibabe.
huyu ndio polisi?
ReplyDelete