Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao Bibi Gella Elisha Sambula aliyekuwa Wakili wa Serikali Mwandamizi kilichotokea ghafla tarehe 26/05/2016 katika Hospitali ya Rufaa Mbeya.
Mazishi yatafanyika tarehe 28/05/2016 Mkoani Mbeya.
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA
JINA LA BWANA NA LIHIMIDIWE
-AMINA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...