Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi anasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzao Bibi Gella Elisha Sambula aliyekuwa Wakili wa Serikali Mwandamizi kilichotokea ghafla tarehe 26/05/2016 katika Hospitali ya Rufaa Mbeya.
 Mazishi yatafanyika tarehe 28/05/2016 Mkoani Mbeya.

BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA
JINA LA BWANA NA LIHIMIDIWE
-AMINA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...