Wahitimu wa chuo cha Regional Aviation wakifurahia kwa pamoja mara baada ya kukabidhiwa vyeti vyao na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), Mhandisi George Sambali (hayupo pichani) kwenye mahafali ya pili ya chuo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Wahitimu wa chuo cha Regional Aviation wakiwa na vyeti vyao mara baada ya kukabidhiwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Mhandisi George Sambali (hayupo pichani) kwenye mahafali ya pili ya chuo hicho jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...