Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba Akizungumza na Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Parakuyo ambao wengi wao ni wanatoka kwenye familia za Wafugaji. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba Akizungumza na Wafugaji kutoka Kijiji cha Parakuyo. 
Akina mama wa Kijiji cha Parakuyo wakimsikiliza kwa Makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, January Makamba wakati alipotembelea Maeneo ya Wafugaji na Kuzungumza nao. 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Januari Makamba akizungumza na Wananchi wa Kijiji cha Parakuyo ambao wengi wao ni Wafugaji.Picha na IMANI SELEMANI NSAMILA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...