Makamu mwenyekiti wa CCM London Ndg Marlyn Seif akiwa ameongozana na Chris Chagula mwenyekiti wa vijana wa tawi hilo na Frank Mukiza katibu wa tawi wakiwa na wauguzi wa hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam wakati wa hafla fupi ya kutoa msaada wa vifaa vya kupimia kisukari hospitali ya Mwananyamala
Makamu mwenyekiti wa CCM London Ndg Marlyn Seif akiwa ameongozana na Chris Chagula mwenyekiti wa vijana wa tawi hilo na Frank Mukiza katibu wa tawi wakiwa na wauguzi wa hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam wakati wa hafla fupi ya kutoa msaada wa vifaa vya kupimia kisukari hospitali ya Mwananyamala
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...