Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akizungumza na wananchi katika kijiji cha Mkalama waliojitokeza kuunga mkono kampeni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iliyozinduliwa hivi karibuni wilayani humo.
Baadhi ya Kina mama wakishiriki shughuli ya usombaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa madarasa katika shule mpya ya Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama wilayani Hai.
Afisa tawala wa wilaya ya Hai,Julieth Mushi akishiriki katika zoezi la ubebaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...