Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) Dkt. Akwilina Chuwa akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu wakala huo kufanikiwa kuvuka lengo kwa kufanya kaguzi 41,551 katika kipindi cha nusu mwaka kuanzia Julai hadi Desemba 2016. Kulia ni Mkurugenzi wa Usalama na Afya wa OSHA Bw. Alex Ngata.
Baadhi ya waandishi wa habari wakufuatilia mkutano wa Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) leo jijini Dar es salaam.(Picha na Frank Mvungi-Maelez

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...