Waziri
Mkuu, Kasim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa
Mabewani mjini Makete, januari 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mku)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Ujuni
wilayani Makete walioziba barabara wakitaka asimame kuwasalimia Januari
20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama ndama waliokuwa wakinyweshwa maziwa
wakati alipotembelea shamba la ng’ombe la Kitulu wialayani Makete
Januari 20, 2017. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...