Na Zainab Nyamka, Globu ya Jamii

Droo ya makundi ya klabu Bingwa Afrika inatarajiwa kupangwa  kwa timu 16 kuingia kwenye makundi manne.

Timu hizo zimepangwa kwenye vyungu vinne kulingana na alama zao ndani ya miaka mitanoi kulingana na ushiriki wao kwenye michuano ya kimataifa.

Makundi yatakuwa manne kila POT Itatoa  timu moja ili kuunda makundi manne timu zimepangwa kwenye Pot kulingana na Pointi zao za CAF Kwa miaka Mitano.  

DROO YA MAKUNDI 

POT 1
-Al Ahly (Misri) 
-Zamalek (Misri) 
-Etòile du Sahel (Tunisia) 
-Mamelodi Sundowns (Africa kusini) 

POT 2
-Al Hilal (Sudani) 
-Espèrance de Tunis (Tunisia) 
-Wydad Casablanca (Morroco) 
-USM Alger (Algeria) 

POT 3
-Al Merreikh (Sudani) 
-Cotton Sports -Ivory Coast 
-As Vita Club (Congo) 
-Al-Ahli Tripoli (Libya) 

POT 4
-St George(Ethiopia)
-Ferroviario Maputo (Msumbiji)  
-Zanaco Fc (Zambia) 
-CAPS United (Zimbambwe) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...