Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi funguo ya gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam leo. Wateja wawili wa benki hiyo walishinda zawadi ya gari kila mmoja.
 Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi nyaraka za bima za gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Wateja Binafsi wa Beni ya NBC, Filbert Mponzi (katikati), akikabidhi vibao vya namba za gari aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 kwa Aldo Nsuha  mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya benki hiyo iliyodumu kawa muda wa miezi mitatu. Kulia ni mke wa mshindi huyo, Zenobia Tarimo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika jijini Dar es Salaam.
Mshindi wa kampeni ya akaunti ya Malengo ya Benki ya NBC, Aldo Nsuha mkazi wa Tabata, jijini Dar es Salaam akijaribu kuwasha gari lake aina ya Toyota Hilux double cabin mpya ya mwaka  2016 baada ya kukabidhiwa jijini Dar es Salaam leo. Anayemuangalia ni mke wake, Zenobia Tarimo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...