Mstahiki meya wa Jiji la Dar es salaam Mheshimiwa Isaya Mwita Charles
leo amekabidhi rasmi magari mawili aina ya Suzuki Carry maarufu kama
(Kirikuu) kwa washindi wa shindano la shika ndinga linaloandaliwa na
kuendeshwa na kituo cha utangazaji cha EFM redio, washindi
waliopatikana katika fainali iliyofanyika tarehe sita mwezi wa tano
mwaka huu katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe Jijini Dar es
Salaam.
Mstahiki Meya akitoa pongezi zake kwa washindi Kutoka Kulia ni Meneja mkuu Dennis Busulwa, Mshindi (Michael Peter), akifuatiwa na Mshindi Joyce Daniel pamoja na Rukia Mtingwa Meneja masoko Zantel
Washindi wa shindano hilo wakiwa wameshikilia kadi za gari Kutoka kulia ni Michael Peter na Joyce Daniel
Shamla Shamla zikiendelea
Wasindikizaji wa mshindi Michael Peter kutoka Salasala
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...