SIMU.TV: Tazama uchambuzi kidogo kutoka studio namba 2 kuhusu sakata la mchanga wenye madini na ripoti iliyokabidhiwa leo kwa mheshimiwa Rais Magufuli; https://youtu.be/pV0_GElRr0s

SIMU.TV: Baadhi ya wachimbaji wadogo mkoani Shinyanga wamepongeza uamuzi wa Rais Magufuli kupiga marufuku usafirishaji nje ya nchi mchanga wenye madini; https://youtu.be/JgaN2fYmIZg

SIMU.TV: Baadhi ya wananchi mkoani Iringa wamesema upotevu wa mapato hususani kwenye sekta ya madini unasababishwa na sheria zilizopitwa na wakati; https://youtu.be/m3XB0Xee66A

SIMU.TV: Baadhi ya wabunge mkoani Dodoma wamepongeza uamuzi wa Rais Magufuli kusimamia kikamilifu upotevu wa rasilimali za watanzania; https://youtu.be/oKIMnEwD90Q

SIMU.TV: Wananchi mkoani Mbeya wameitaka serikali kuangalia upya mikataba ya madini ili kuona kama ina manufaa kwa watanzania; https://youtu.be/lQO4sVP6K1M
SIMU.TV: Benki ya rasilimali nchini TIB kitengo cha biashara imeanza kutoa huduma kwa masaa 24 katika tawi lililoko kwenye bandari ya Dar Es salaam; https://youtu.be/4uYXWOlKbhE

SIMU.TV: Benki ya NMB imeanzisha akaunti maalumu ya biashara ndogo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali wanaotaka kuanzisha viwanda; https://youtu.be/jKdF4Gj6HxE

SIMU.TV: Mamlaka ya mafunzo na ufundi stadi VETA na SIDO wamekubaliana kushirikiana kutoa mafunzo kwa wajasiriamali ili kuwaongezea uwezo; https://youtu.be/D83LkpFaDZM

SIMU.TV: Chama kikuu cha ushirika wilayani Masasi mkoani Mtwara kimefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 3.3 za wakulima wa Korosho; https://youtu.be/uTLorTble8Q  

SIMU.TV: Waziri wa habari na michezo Dkt Mwakyembe amesema serikali itaendelea kuunga mkono jitihada za kukuza soka la vijana; https://youtu.be/dcph22V3PZY

SIMU.TV: Kampuni ya SportPesa imezindua mashindano rasmi yatakayoshirikisha timu 8 zinazodhaminiwa na kampuni hiyo kutoka Tanzania na Kenya; https://youtu.be/dejhhV-IQNc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...