Brigedia Jenerali John Julius
Mbungo aliyeapishwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na
Kupambana na Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Brigedia Jenerali John Julius
Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
Ikulu jijini Dar es salaam leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimkabidhi nyenzo za kazi Brigedia Jenerali John Julius Mbungo baada ya
kumuapisha kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Brigedia Jenerali John
Julius Mbungo akila kiapo cha maadili ya Viongozi wa serikali baada ya
kumuapisha kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
(Utumishi na Utawala Bora) Mhe. Angela Kairuki baada ya kuongea machache
baada ya kumuapisha kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia
na Kupambana na Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea machache baada ya kumuapisha
Brigedia Jenerali John Julius Mbungo kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan,
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utumishi na Utawala Bora) Mhe. Angela
Kairuki, Waziri wa sheria na Katiba Profesa Palamagamba Kabudi, Mwanasheria Mkuu
wa Serikali Mhe. George Masaju, katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi,
wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na Brigedia Jenerali John
Julius Mbungo baada ya kuapishwa kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa Ikulu jijini Dar es salaam leo.
PICHA NA IKULU.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...