Ofisa habari wa shirika la meli Zanzibar (ZPC) Rabia Khamis akiwaelimisha wakazi wa Mkoa wa Kigoma juu ya huduma wazitoazo katika kampuni hiyo leo kwenye maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Usafiri wa Majini Duniani uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mlole halmashauri ya manispaa ya kigoma ujiji . Picha na Magreth Magosso kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...