Ofisa habari wa shirika la meli Zanzibar (ZPC) Rabia Khamis akiwaelimisha wakazi wa Mkoa wa Kigoma juu ya huduma wazitoazo katika kampuni hiyo leo kwenye maadhimisho ya kitaifa ya Siku ya Usafiri wa Majini Duniani uliofanyika katika viwanja vya shule ya msingi Mlole halmashauri ya manispaa ya kigoma ujiji . Picha na Magreth Magosso kigoma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...