Matumizi ya vyoo vya kulipia ni changamoto kubwa kwa wahisani wanaothubutu kujenga miradi ya vyoo katika masoko kadhaa katika manispaa ya kigoma ujiji, ikiwemo choo hiki kama kionekanavyo pichani, kilichopo soko la mwalo wa Kibirizi .Pamoja na choo hicho kuwa cha kulipia lakini mandhari yake si salama hata kidogo kwa watimiaji wake,kutoka na kuzungukwa na taka taka ambazo zingeweza kuondolewa na choo kikabaki safi na salama kwa watumiaji.Picha na Magreth Magosso kigoma.
Home
Unlabelled
USAFI WA VYOO NI MUHIMU KWA AFYA YA WATUMIAJI WAKE.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...