Matumizi ya vyoo vya kulipia ni changamoto kubwa kwa wahisani wanaothubutu kujenga miradi ya vyoo katika masoko kadhaa katika manispaa ya kigoma ujiji, ikiwemo choo hiki kama kionekanavyo pichani, kilichopo soko la mwalo wa Kibirizi .Pamoja na choo hicho kuwa cha kulipia lakini mandhari yake si salama hata kidogo kwa watimiaji wake,kutoka na kuzungukwa na taka taka ambazo zingeweza kuondolewa na choo kikabaki safi na salama kwa watumiaji.Picha na Magreth Magosso kigoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...