Wakala wa Kampuni ya BCX, Neema Urassa (katikati) akitoa Elimu kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam eneo la Feri walipotembelea banda lao lililokuwa likitoa huduma za mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo ya nauli uliozinduliwa na Kampuni hiyo kwa ajili ya usafiri wa Daladala.
Wakala wa Kampuni ya Business Connexion (BCX), akiwakabishi vipeperushi wakazi wa Tegeta Nyuki, ambavyo vinatoa maelezo kuhusu huduma mpya ya malipo ya nauli za daladala kielektroniki ijulikanayo kama ‘Uhuru Pay’ iliyozinduliwa na BCX hivi karibuni jijini Dar es salaam.

Msimamizi wa mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo ya nauli katika usafiri wa Daladala kwa kutumia Kadi au Stika unaotolewa na Kampuni ya BCX, Andrew Wayayu (watatu kushoto) akizungumza na Dereva na kondakta walipokuwa wakitoa elimu kuhusu mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo ya nauli katika usafiri wa Daladala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...