Waziri mkuu KASSIM MAJALIWA amesema serikali ya awamu ya tano chini ya Rais DKTJOSEPH MAGUFULI itaboresha mfumo wa elimu ili kuweza kumwandalia mwanafunzi maznigira bora ya kielimu, amesema hayo wakati akizungumza na wanafunzi wa wa sekondari NASULI wilayani NAMTUMBO mkoani RUVUMA ,waziri mkuu yupo ziarani mkoani ruvuma kwa siku tatu,habri kamili hii hapa video yake.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...