Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohammed Shein  akikunjuwa Kitambaa kinachoonesha Picha ya Mtunzi mahiri wa Vitabu na aloeneza lugha ya kiswahili kwa njia hio Muhammed Said Abdulla (BWANA MSA)mara baada ya kuwasili ndani ya ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani kwa ajili ya uzinduzi wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili Kikwajuni mjini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohammed  Shein katikati akiwa katikapicha ya pamoja na Viongozi mbalimbali baada ya kuzindua Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja.
 Mwenyekiti wa Baraza la Kiswahili Zanzibar Mohammed Seif Khatib akitoa hotuba yake katika Uzinduzi wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja.
 Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Rashid Ali Juma akitoa hotuba ya makaribisho kwa mgeni rasmi  katika Uzinduzi wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja.
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk,Ali Mohammed Shein akisisitiza jambo alipokuwa akitohotuba yake ya Uzinduzi wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja
 Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria katika Uzinduzi wa Kongamano la Kwanza la Kimataifa la Kiswahili katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani Kikwajuni Mjini Unguja

PICHA NA YUSSUF SIAMAI/MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...