Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Ndg Kheir James  (MCC) amekutana na kufanya mazungumzo na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM.  

Kikao hiko kimefanyika ukumbi wa mikutano CCM Mkoa wa Dodoma kilihudhuriwa pia na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM  Ndg Tabia Mwita Maulid na Kaimu Katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka.
 Baadhi ya Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM wakifuatilia yaliyokuwa yakijiri ukumbini humo.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Ndg Kheir James  (MCC) akizungumza mapema jana alipokutana na kufanya mazungumzo na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM.
  Baadhi ya Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa yote nchini wa UVCCM wakifurahia jambo 
.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...