Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe akizungumza alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma leo Jijini Dar es Salaam.
Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
Kaimu Mkurugenzi Idara ya Maendeleo ya Sanaa Bibi. Leah Kihimbi (wapili kushoto) akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (wapili kulia) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma. Kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Mhe. Juliana
Mjumbe wa kamati ya uzalendo Bw. Mrisho Mpoto (kulia) akizungumza wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (katikati waliokaa) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma. Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza
Mwanamziki mkongwe nchini Bw. John Kitime (aliyesimama) akichangia wakati Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe (hayupo pichani) alipokutana na wadau wa sekta anazozisimamia kuhamasisha wadau hao kuunga mkono kampeni ya uzalendo itakayozinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe nane Desemba Mkoani Dodoma.
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...