Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na viongozi wa mkoa wa Dodoma
wakati alipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017,
baada ya safari ya Singida, Lindi na Dar es salaam. Kulia kwake ni
mkewe Mary. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mekewe Mary wakiongozana na Mkuu wa
Mkoa wa Dodoma, Benilith Mahenge wakati alipowasili kwenye uwanja wa
ndege wa Dodoma Desemba 5, 2017. Mheshimiwa Majaliwa amerejea Dodoma
baada ya safari katika mikoa ya Singida, Lindi na Dar es salaam. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...