Home
Unlabelled
polisi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani hivi manjagu nao hujichana sigara kubwa au ni nini kinachoendelea hapa?!!Tena sajenti mzimaa mchana kweupee!!
ReplyDeleteTrio Kaka umenikumbusha mbali sana enzi za Mkama Sharp huyu alikuwa kikosi cha mbwa na farasi polisi Baracks Kilwa road, huyu jamaa hata iwe Boom FC na Ashant FC uwanja wa karume upande anaokaa alikuwa haruki mtu ukuta (wall),jamaa tulikuwa tunamuimba mpaka kwenye mchiriku, sharp alikuwa anawapanga mbwa kama watano halafu na yeye anazunguka zunguka na bastola mbili, wababe wa ilala kina Mbete na Makusuti wenyewe walikuwa wanangwaya
ReplyDelete