Home
Unlabelled
tizi laendelea
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Waah kweli umeamua, na kusema ukweli yaani kama mtu hakujui kama wewe ndiye michuzi basi atadhani waheshimiwa watatu wameamua kustrake pose.
ReplyDeletewewe jichanganye nao tu ndio watu wanavyo anza.
Mungu anaona juhudi zako na zitajibiwa tu sku moja si unaona wanahabari wenzio walio jichanganya na sasa wamelamba bingo.
du halafu Masalo nyumba yako kali kuliko za waheshimiwa, usiniambie umeshonesha au kuchukua mtumbani, sitokuamini, inaelekea ulijikoki ile mbaya kabla ya tripu la Dom, way to go bruv!!
ReplyDeleteWanyumbani-mmh ndaga fijo ,ufumile kuhu?
ReplyDeletenawafagilia, nipo hapa Mwanjelwa kwa mama John nakamu ulanzi toka Makambako kichizi!
Michuzi wakina Betty mkwasa na sarah dumba wameula bado wewe sasa, hata ukiwa dc tu inatosha, au wewe unataka wato wa kule mbeya wa kuchague
ReplyDeleteWANYAKYUSA KWA SIFA HAWAJAMBO JAMANI.
ReplyDeletewee anony hapo juu acha umbea. sifa gani unazozizungumzia?
ReplyDeleteVERY ARROGANT
ReplyDeleteWanyakyusa wana sura zao fulani haziivi hata wawe waheshimiwa,mfano huyu waziri wa Afya anakula kuku tangu enzi hizo lakini wapi!!kapauka mwee.
ReplyDeletebig up!!! kidume.
ReplyDeletehivi michuzi hao waheshimiwa wanajua una blog hii nini wanajua wakipiga picha na wewe utaweka hapa watoto wao watawaona.
ReplyDelete