jk na mama salma wakiwapa pole balozi mwanaidi maajar na mumewe leo, dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 25 mpaka sasa

  1. Ndio maana leo huyu mama hakuwepo kwenye uzinduzi wa bunge hapa westminster, kumbe yuko dar. Mabalozi huwa wanaalikwaga

    ReplyDelete
  2. Kumbe ni wenyewe kwa wenyewe mnapeana pole. Vipi yule dereva wa daladala aliyepigwa risasi na Ditopile?

    ReplyDelete
  3. Familia ya Maajar poleni sana.Sasa Mheshimiwa JK anatua lini kutoa ubani huko kwa Mzee Mbonde?

    ReplyDelete
  4. Bora khanga imerudi kwenye misiba! T-shirt/jean kilio siyo mila ya waTanzania!

    ReplyDelete
  5. JK aliahirisha kutoa ubani kw aMbonde haswa ukizingatia anamajukumu mengi, kwenda Kwa Maajar na dhani ni muhimu zaidi ukizingatia ni rafiki wa karibu na wana fahamiana kwa muda mrefu , kwenda kwa Mbonde atakwenda tuu ,pale itakapo kwua teari.

    ReplyDelete
  6. Nadhani huu si wakati muafaka wa kuanza kulumbana huyu ni nani na kwa nini kaenda huku na hakwenda kwingine.Huu ni wakati wa Kumuombea Hassan Apumzike Mahala Pema Peponi na Kuiombea Familia ya Maajar kupita katika wakati huu mgumu.

    ReplyDelete
  7. Nadhani huu si wakati muafaka wa kuanza kulumbana huyu ni nani na kwa nini kaenda huku na hakwenda kwingine.Huu ni wakati wa Kumuombea Hassan Apumzike Mahala Pema Peponi na Kuiombea Familia ya Maajar kupita katika wakati huu mgumu.

    ReplyDelete
  8. kwa kweli anony 9:12:47 ni wakati mgumu sana huu anaropokwa mtu ambaye jambo hili halijamfika.

    hata nani akienda!!!!!! hawakupenda wao kutembelewa kwa ujio wa pole za misiba, wala hawakuomba janga hili ili watembelewe na Mh. Rais imetokea tuu. Mwanadamu ufanye nini jambo hili liko juu ya uwezo wako.

    mtoto wao ndio hivyo tena hapo walipo wanaona kama ndoto. Wanatamani hata wasikie sauti hata wamuone tena laki wapi.

    Mw. Mungu ataipa mioyo yenu uvumilivu, subra, imani na kuelewa na kukubali. Amen

    ReplyDelete
  9. kwa kweli anony 9:12:47 ni wakati mgumu sana huu anaropokwa mtu ambaye jambo hili halijamfika.

    hata nani akienda!!!!!! hawakupenda wao kutembelewa kwa ujio wa pole za misiba, wala hawakuomba janga hili ili watembelewe na Mh. Rais imetokea tuu. Mwanadamu ufanye nini jambo hili liko juu ya uwezo wako.

    mtoto wao ndio hivyo tena hapo walipo wanaona kama ndoto. Wanatamani hata wasikie sauti hata wamuone tena laki wapi.

    Mw. Mungu ataipa mioyo yenu uvumilivu, subra, imani na kuelewa na kukubali. Amen

    ReplyDelete
  10. Protocol imekosewa.Kikwete kakaa karibu sana na mama Maajar wakati Mumewe kakaa mbali sana na mkewe ambao ndio wanatakiwa wapewe pole pamoja.Alichokiunganisha Mungu Mwanadamu askitenganishe.Naona huo mkao ni kama vile mama na baba mfiwa wametenganishwa na Kikwete walivyokaa hapo pichani.Mumewe anaonekana kama mtu wa kuja yuko mbali sana kimkao!!Au naona maluweluwe?

    ReplyDelete
  11. Poleni sana familia ya Baba na Mama Maajar, Mungu awape nguvu yakuweza kupita kipindi hiki kigumu. Mungu awatangulie katika yote. POleni sana.

    ReplyDelete
  12. Pole Mama Maajar!

    ReplyDelete
  13. Jamani kwani JK hana haki ya kwenda kutoa pole kwa mama Maajar? Acheni hizo, na sio lazima aende kwa huyo drv wa Daladala manake sasa imekuwa mtaji!Je Angekufa kwa Ajali? Watanzania acheni kuwa hivyo!

    ReplyDelete
  14. watanzania wengi akili zetu hazifikirii mbali. hapa najumuisha nami.

    umeongea cha maana anony hapo juu. huyu maajar ni balozi wake na kwamba hana jinsi ni lazima. huyo mbonde ni nani kwani, au kwa kuwa.....acheni ushabiki. ya mbonde tumuachie pilato .

    otherwise, ni kwamba kwenda msibani na mibano ni mambo ya vijana wa siku hizi ambao kwao watu hawana adabu.

    sasa ngalia wakina mama wa kitanzania wa kweli walivyovaa kwenda msibani.

    mungu alitoa naye ametwaa. hakika jina lake lisifiwe.amin/

    POLE BABA NA MAMA MAAJAR.KAZI YAKE MOLA AINA MAKOSA.

    ReplyDelete
  15. Hapo Ni Nevada AU ni Dar jamani, Kama ni Dar ni hotelini sio! Kwa mtu wa mshahara wa serikali hata mudu, maana hata ikulu yenyewe haiko hivyo.

    ReplyDelete
  16. wewe "Saa Thursday, November 16, 2006 1:32:20 PM, Mtoa Maoni: Anonymous" Hapo sio Vegas ni Bongo nyumbani kwa Balozi Maajar. Mbona haya ni mambo ya kawaida tu bongo. Wewe upo wapi madongo kuinama nini?

    ReplyDelete
  17. bwana eee iwe msiba iwe harusi wabongo majungu jadi yetu... na huu ni wakati muafaka wa kuchambua chambua vijimambo ambavyo kwa kawaida hatuwezi viongelea.

    hivi weye anon unadhani watu wanalogana sirikalini bure..watu wanatajirika no wonder nchi haiendelei... kuna watu wanaisha kama ma-movie star bongo mpaka kijiko kinaagizwa toka nje ya nchi wacha mambo bwana...

    halafu si unacheck mambo ilivyo posh hakuna mkeka wala msongomano kwa wafiwa sijui walala hoi wamesweka nje kwenye turubai au vipi... over misiba ya huku ughaibuni bwana....aaaah kweli mwenye pesa sio mwenzio... we unadhani JK kwa mbonde atakwendaje wakati pa kukaa hakuna...

    haya bwana munyezi mungu ailaze roho ya aliyetangulia pema....

    ReplyDelete
  18. Nyie acheni bwana hapo ni loyol palm movecpicnic bongo pale kuelekea tanganyika motors.Unajua watu wengine bongo walitoka zamani ndio maana hawawezi kuangalia vizuri na kufikiria ni nyumbani kwa mtu.

    Huyu balozi aliporudi Dar anakaa hapo kwa muda.

    ReplyDelete
  19. POLENI SANA FAMILIYA YA MAAJAR.MUNGU AWE NANYI HASA KIPINDI HICHI CHA MSIBA.YOTE HAYO NI MAPENZI YA MOLA KWANI HATUJUI SIKU WALA SAA.
    MBARIKIWE WOTE.

    ReplyDelete
  20. jamani huu si wakati wa msiba mbona pumba zinazidi kuwa nyingi, mara nyumba, mara mkao mara kwa nini asiende kwa Mbonde, kama Mbonde angeuliwa na raia tu au mwanajeshi mngeongea kelele namna hii, Mbonde ni nani kwa Jk? Huyu mama ni balozi aliyemchagua yeye mwenyewe, Mbonde anamjulia wapi? saa zingine tuangalie reality, pili hapo inawezekana kabisa pakawa ni nyumbani kwao, huyu mama kabla ya ubalozi alikuwa ni mwanasheria mkubwa, nayeheshimika, na mwenye mafanikio ya kutosha tu hivyo hana njaa, nyumba kama hiyo ni ndani kabisa ya uwezo wake, halafu kuna yule bwana mwenye protocol za mikao labda yeye atueleze angependelea wakae vipi, mijitu mingine bwana!! halafu wa mjomba unaedai unaishi ughaibuni kama unashangaa nyumba kama hiyo inaonekana ulikotokea kwenu bongo choke mno, hayo bongo ni mambo ya kawaida sana, miaka mingi tu.

    ReplyDelete
  21. Wadaku mmeshaanza kuchonga, anyways ngija niongeze udaku, hapo ina wezekana HOtelini kwlei, maan navyojua Bibi Maajar ali kuwa naishi kule Micheni Mlalakuwa ambapo nyumba yake ameipangisha, na sijaona msiba wowote maeneo hayo mbaka jana.

    Kuhusu JK kutokwenda kwa Mbonde nasikai kuwa huko Uswahilini kuna kizee kile kilichojitokeza kwenye gazeti, sio baba mzazi wa Mbonde ni ndugu tuu anaye taka kupata pesa kutokana na msiba huo.

    ReplyDelete
  22. Acheni malumbano na uzushi usio na faida,hapo hapo ni kwa dada yake Balozi Maajar anaitwa Dr.Hawa Eve Sinare,naye ni advocate na ana law firm yake(kampuni ya wanasheria).Kwa kifupi amesimama!
    Tuache sasa majungu wenzetu wamefiwa hao.

    ReplyDelete
  23. anony hapo juu umesema kweli hapo ni nyumbani kwa dada yake balozi maajar ni advocate ana jumba kama hekalu liko maeneo ya see breeze ni mwanasheria maarufu sana hapa bongo

    ReplyDelete
  24. Msiba hauna,jirani,ndugu rafiki,Poleni wafiwa wote

    ReplyDelete
  25. Mchuzi, ukienda na JK huko Kusini, Ntwara kwa sheji zake, mwulize kwa nini hajasikika kuhusu Ditopile kumdito Mbonde?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...