ali naye hachoki kuitwa mzee wa farasi...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Twanga bwana kuna watu hawapewi nafasi kuna mtu Saleh Kupaza huyu jamaa ni mashine kuliko huyu Choku, kubebana tuu

    ReplyDelete
  2. Huyu kaisha kabakia kujipiga mkorogo tu hamna lolote. Ustaa ukizidi na kuvimba kichwa ndo mwisho wa mambo yote.

    ReplyDelete
  3. nasikia anaondoka twanga,sasa dada yangu asha sijui itakuwaje.ndo maisha lakini,mwache akatafute.

    ReplyDelete
  4. Ali Choki kaza buti baba!

    ReplyDelete
  5. MICHUZI KAMA UMESHINDWA KUWEKA PICHA YA DITO SISI TUTACHAGUA TU PICHA HALAFU TUANZE KUIJADILI KA NI YA DITO VILE

    ReplyDelete
  6. Michu, VP YANGA MAANA PRESHA TUPU HUKU.

    ReplyDelete
  7. mambo ya fegi hayo

    ReplyDelete
  8. Anonymous wa Sunday, March 18, 2007 4:37:00 PM unataka picha ya Ditto ya nini? Naona una usongo kweli. Pamoja na hayo msg imeishafika serikalini kwamba Best Man wa Rais alipendelewa na amebadilishiwa mashitaka ili apewe dhamana. Kesi itakaa mahakamani kwa muda wa miaka kadhaa ili watu wasahau. Baada ya hapo hukumu itatoka kwamba hana kosa, hivyo atalipa faini kwa kuua mtu!!! Lakini mahabusu nao wamesaidia kufikisha msg serikalini. Kweli Bongo mambo mazito, ni mwendo wa kuviziana tu na kutiana changa la macho.

    ReplyDelete
  9. Sareh Kupaza ndiye hasa muimbaji siyo huyo au Banza huyu hana kitu bure tu michuzi

    ReplyDelete
  10. Mwacheni Achoke Du! Hao Washabiki Mumewaona Walivochoka??

    ReplyDelete
  11. hahahaa duh, mashabiki wamechoka si muchezo! yaani hapo wote wako bwiii!! sio chini ya chupa kumi hivi! mcheki huyo mshikaji aliyejipigilia pull-over ya kijivu (gray), yaani anajipeleka peleka tu ila yuko hoi na bwiii.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...