Home
Unlabelled
lwiza
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kaka Michudhi hebu jamani tuseme kiukweli ukali wa Luiza ujko wapi? mi sijauona kabisa kwenye nyimbo gani kaka Kimobitel ni mkali kukliko hutyu hana lolote hata akiondoka, kwanza anaimba nje ya Mstari huyu!!
ReplyDeleteHapo ni password ya maisha ikichanganyia, Choki anakupa "wanaumeee" Nyamwela, Mandela, Super ge wana impersonate mapanga ya wanaume to perfection...aibuuu hicho ndio kisima cha burudani bwana.
ReplyDeletebora hapo juu umecomment kila siku mimi nasema bendi ya twanga ni safu ya kina madinda na wenzake na kama wasingekuwepo hiyo bendi ingekuwa kwenye maweee zamani sanaa kwanza hata uvaazi wao wa kishamba sana huyu kavaa hiki huyu kile ujinga mtupu,haya njoo kwenye kucheza ndo hamna kitu kabisaa huyu anageuka huyu anasogea mbele anayefuatia anakatika hakuna consistency!!! mbutu na jessica hawana sauti nzuri kabisa kabisa nasikitika kusema hivyo kimobitel ana sauti angalau... sasa michuzi kawaambie twanga wakifanikiwa kupata hata wadada wawili wenye sauti nzuri wakawatoa hao majina matupu watatawala muziki bongo.
ReplyDeleteHata mseme nini FM Academia ndio kiboko yao, Hongera wazee wa mujini endelezeni libeneke
ReplyDeleteDouble D
Twanga na FM academia ni vitu viwili tofauti, FM muziki wao ni wa kizaire pyua na wanamuziki wao karibu wote kama sio wote ni wazaire (sijui wana workin permit) The might Twanga Pepeta muziki wao ni wenye maudhui ya kitanzania zaidi, hata ghani zao kama mugongo mugongo,twanga pepeta, ni bebe iwe, mdodo wangu n.k ni za Kitanzania au zimetoka katika ngoma za kitanzania na kwa taarifas yako bendi hizi huwa haziajiri wageni kwa sababu vijana wa kitanzania wako wengi sana kwenye fani hii
ReplyDeleteHao mbona kama wacheza michiriku?
ReplyDelete