bingwa wa uzito wa juu afrika mashariki na kati toka kwa watani wa jadibtom 'black rhino' okusi




boksa ahmed 'big braza' tamim na meneja wake




promota wa boksing shomari kimbau akiongelea kuhusu mpambano wa leo. ambapo boksa wa kibongo awadhi 'big braza' tamim anapanda jukwaani kuwania ubingwa wa uzito wa juu wa afrika mashariki na kati kwa kupambana na bingwa wa uzani huo kwa sasa, tom 'black rhino' okusi wa Kenya katika mambano utaofanyika kwenye ukumbi wa millennium tower uliopo kijitonyama, dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Aisee inaonekana huyo bondia Ahmed ajapigana mapambano mengi kwani sura yake bado nzuri haina mapindo tumpe miaka2 tuone uso utakavyokuwa na cologation.

    ReplyDelete
  2. Duuh huyu bondia rhino amefanana sana na msolopa ganzi

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 02, 2007

    Tamim hits Kenyan by KO

    2007-07-02 08:31:16
    By Gasper Victor

    Awadh Tamim knocked out Kenyan Tom Okusi to grab the East and Central African heavyweight title in a boxing match in Dar es Salaam at the weekend.

    Tamim heavy jabs sent the Kenyan to the canvas after one minutes and two seconds of the first round in the scheduled 10 round fight.

    Hussein Chiwa also won national super welterweight title after beating defending champion Selemani Said by KO in the ninth round.

    Benson Mwakyembe defeated Kenyan Mustafa Noah by KO in the eighth round in super middleweight as Karama Nyilawila beat Joseph Odhiambo of Kenya by KO in middle weight.

    Mada Maugo knocked out Ramadhani Miyeyusho in the second round in the welterweight.

    Joseph Marwa won by 80-78 points against Kenyan Chris Serengo in the heavyweight.

    Shaban Tampa won on 79-65 points against Kenyan Raymond Ochieng in heavyweight.

    Ezekiel Mwaiwega won by KO in a bantam weight fight against Ajabu Salum.

    * SOURCE: Guardian

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...