kuna wadau wamenituhumu kumbania mtangazji suruma kassim wa bbc idhaa ya kiswahili ambaye ni maarufu kwa kusoma meseji za wasikilizaji. yupo hapo na tom mjapani walipokuja dar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 30, 2007

    Michuzi..tuwekee picha inayoonyesha jinsi ulivyomkumbatia huyo mama.Hili tukusaidie kuamua hiyo kesi.

    ReplyDelete
  2. Huyu mama ni mtu mzima sana. Yupo BBC tangu mwaka 1978 (kama nimekosea kidogo S.Yakubu atanisahihisha). Mimi huwa napenda kumsikia pale akisoma maoni (ya barua) kwa kujibizana na mtangazaji mwingine (kama Ali Saleh-wa London) au pale asomapo habari kwa ufupi wakati muda wa matangazo yao unakaribia kwisha. Nasikia burudani kweli!

    Hivi ni mtz (Zenji labda),mKomoro au mkenya (mMombasa)? Ni mtu mzima ila bado "anadai" sana na ana "pumzi" sana ktk kutangaza.

    Bravo mama yangu!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 01, 2007

    Tuwekeeni basi kwenye youtube tusikilize huo uroda. Wengine BB London ni nwes tu ndio tunapata....Any link kusikiliza redio yao ya kiswahili (sio news tu) I know how to get that

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 01, 2007

    Yeah...bongo muelewe umuhimu wa kufanya mazoezi, kula vizuri na kumaintain your weight.

    Angekua bongo mngesham right off huyu na kumwita mzee wakati hapo huku tuliko yeye ndio kwanza saa sita mchana

    Kila siku kwenye blog autasikia mtu mwenye mika 30 hajaolewa au kuoa basi tabu mzee huyona. Miaka hiyo huku demu kwanza ndio market inaanza wakati bongo mtu wa umri huo antakiwa kuwa na wajukuu. ...bongo bwana basi tu...

    Culture yetu inaforce watu wazeeke. Diana Rose kacelebrate her 63 birthday lakini bado anadai.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...