Home
Unlabelled
barakazzz
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyu wa kushoto ni Omary Baraka Wakati tuko kinondoni Seco. tulikuwa tunamuita wa kigoma vipi kamuona mshikaji wake Azizi Mbezi?
ReplyDeleteMichu, Huyo jamaa wa upande wa shoto ni mdogo wake huyo Papaa Baraka Msilwa, nakumbuka tulikuwa tunamtania na kumuita Omari Kigoma, ikiimanisha Kigoma mji walikotoka. Familia yao inaanza hivi wa kwanza ni Baraka, wa pili ni Asha na watatu ni Omari.
ReplyDelete4:15 Samahani. Wakwanza sio Baraka na katika familia yao Omary ni wa mwisho kuzaliwa. Wakwanza kaka yao anaitwa Mayaula.
ReplyDeleteMM
Duuu hivi huyo wa katikati hapo alikuwa jeshi la mgambo?kachukua pozi fulani,very ........
ReplyDeletehuyo jamaa ni Omary Baraka a.k.a Omary Kigoma enzi alikuwa bonge la "footballer" lakini basi kwenye miti hakuna wajenzi
ReplyDeleteEeee bwana Omari is a cool brother yaani mshkaji ni poa sana hana mambo mengi kama vijana wengi wa ughaibuni wanaorudi hapa mjini.Halafu demu wake mzuri kweli kweli katulia yaani ni african woman indeed. Hana majivuno ni very intelligent nilisoma nae Arusha alafu ana sura na miguu mizuri, rangi nzuri,mrefu na tabasamu lake safi sana. Utaoa lini mshkaji maana kama huoi hapo nipe address maana siku hizi simuoni ? Alex
ReplyDelete