Home
Unlabelled
pacha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
kachukua aliye karibu na bega la kushoto.
ReplyDeleteHawa watoto ni ndugu zangu hawa duh kweli long time yaani sijawaona na nikijaga Bongo inakuwa misele mingi kiasi kwamba unaondoka hata baadhi ya ndugu huwaoni mambo ya kukesha Garden Bistro, Jacky's, Millenium, Rose Garden,Sea Cliff, Bahari, Paradise Hotel, Much More na sehemu kibao. Hongera sana watoto wa Mzee Ru...... Na wewe mshikaji uliechukua mali treat my sister with respect, usilete gozigozi yaani ukileta zako za kuleta nitakupa kibano mwenyewe nikija Bongo
ReplyDeleteKweli mdau kaibua ila michu kwa ninyi wataalamu wa kupiga picha naona picha hii ina kasoro kuu moja niliyoiona.
ReplyDeleteNayo ni mapacha hao kukenua meno kama wanapiga mswaki badala ya KUTABASAMU.
isee wazuri kweli hata meno yametulia kwa kweli.
ReplyDeleteDuuh sasa huyo mdau kwanini? asiwaoe wote ajui kama kufanya hivyo anamsononesha pacha mmoja na vile vile kumtenga toka ntoke mwenzie?
ReplyDeletekinachoni furahisha ni wabongo maneno wewe wapili hapo juu hivi kwanini wabongo mhhh hata siwezi kumalizia maana nacheka tu hapa ngoja nisije fukuzwa kazi na mzungu hivi mhhh haya
ReplyDeleteduh! si mchezo, watoto wa mzee Ru..walikuwa gf zangu zamani. Hongera mdau
ReplyDeletesidhani kama ni tatizo la mpiga picha itakuwa ni hao mabacha hawajui kutabasam
ReplyDeleteJamani Naila na Ramla, Lol ni longtime nyinyi nimewamiss Naila maskini nakuona na shemeji hongera sana kwa kupata mume.
ReplyDeleteRonaldinho
ReplyDeleteDuh, wewe anon wa july8 12:18, punguza kuangalia soka.....lakini unaonekana uko makini kweli kweli!! ha ha ha ha
ReplyDeleteSteveD.
duh michu!wapelekwe mis utalii hao.
ReplyDeletehahahaha eti Ronadinho...............ni kweli watoto wana MENO MENGI sana ila wamependeza.
ReplyDelete