Home
Unlabelled
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Vipi michuzi hiyo mikono mbona...... kwanini leo huikunjii kifuani kama ulivyofanya juzi kwa wale kina dada au... au hapo huogopi tukisukutua vinywa????????????????
ReplyDeleteMichuzi mbona mguu wako wa kuli umeunyanyua kiaina? huyo mama alikugusa pahala pabaya kwa bahati mbaya nini? au uliunyanyua kujiprotect tu?
ReplyDeletemichuzi kwa midude mikubwakubwa hatukuwezi, mikono inahama yenyewe kutoka kifuani bila kujijua.
ReplyDeleteMichu nisalimie ma mjata mwambie mie mzima kabisa najichanganya na wababe wa ulaya mapambano mtindo mmoja. Mpe hi na Chemi nawatakia wote kazi njema na mwenyezi mungu awafanyie wepesi filamu mambo yaende vizuri
ReplyDeleteE bwana michu inaonyesha da Chemi alizikumbuka Konyagi sana naona hapo anaonekana tayari zimemchukua. Ndio raha kuwa nyumbani Unapata kitu roho ilikosa.
ReplyDeletePicha nyingi za kina dada unaopiga nao lazma uwakumbatie hivyo?na wanakuwa wawili lazma, je? umeoa wanawake wawili nini, yaelekea bila kupiga viwili hutosheki, haya bwana hongera kidume!!
ReplyDeleteHicho "kipepsi" cha Mama Mjata kimekaa kwa amani tu ila Michu ndio mcheche wake akanyanyua mguu. lakini hao wanawake wawili na wazimia sana ni washoka!
ReplyDeleteMhh huo mkono! ma Tecla anachokoza kwa mbaliii kijanjaaaaa jinyongeni tu
ReplyDeleteNice Pic! Ila sijui vumbi la Dar, ndo kwanza nimeshuka kwenye ndege na allergies zikanishika, nikakuta macho yanavimba! DUH! bahati nzuri sikuwa na scene siku hiyo.
ReplyDelete