miss kinondoni 2007 rachel akipozi na mgeni rasmi naibu waziri wa usalama wa raia mh. aboud (kati), rpc kanda ya kinondoni afande rwambow (kulia) na mwenyekiti wa kamati ya miss tz mh.prashant patel usiku huu mileniam tawa kijitonyama dar
rachel akipokea zawadi yake baada ya kushinda taji la miss kinondoni 2007
msanii malraw alikuwepo 'kubembeleza' umati
mdau toka birmingham tulikuwa naye
tano bora ya miss kinondoni 2007.
baadhi ya watazamaji kwenye miss kinondoni 2007
miss kinondoni 2006 nadia akimvisha taji rachel
malkia wa urembo wa kinondoni mwaka huu akila pozi na washindi wengine watano bora. mshindi wa pili ni lilian abel (pili shoto).
mashindano hayo yalishuhudia vioja pale utawala wa millenium tawa ulipojikuta una shughuli mbili kwa wakati mmoja - miss kinondoni 2007 upande mmoja wa pazia ambapo fm academia na wasanii kibao walitumbuiza, na upande wa pili wa mzalendo pub kulikuwa na uzinduzi wa filamu na akudo sound walikuwa wakitumbuiza.
tafrani hiyo hata hivyo ilikuja wekwa sawa na walinzi wa amani ambao waliwaomba wazinduzi wa filamu wangoje wenzao wamalize ndipo nao waanze. ilikuwa soo kiasi kwani bendi mbili kupiga wakati mmoja na sehemu moja huku watu wa mamiss wakijaribu kupaza sauti mambo yao yasikike.
wengi waliulaumu utawala wa millenium tawa kwa kioja hicho ambacho laiti kama busare isingetumika chupa zingerushwa lazima.
Hmmm! Mie yangu macho tu! Eti ponjoro ndio miss Kinondoni!!! Kama mie ningekuwa mmoja wa majaji hata kumi bora asingekuwemo!! Siuoni huo uzuri wake hata kidogo!!
ReplyDeleteSasa KINO Imeishiwaa Imetoa Baiya?? Kaziiiii Kweli kweli
ReplyDeleteJaquline aka LIsa aka Kimobitel nakuona hapo au nakosea?.
ReplyDeleteCongratultions to MIss Rachel, u really deserve it , nilikuona toka Miss Dar Indian Ocean na nili kukubali kam wewe ni mshindi (Ingawa wabaguzi wengi wata sema wewe Mhindi).
Kwa ujuma waandaaji wa show walikuwa na uandaji mbaya , VIP seats zilikuwa hazitoshi kupelekea wengine kukosa viti , huku tumetozwa sh 40,000 .
Uongozi a Millenium Tower ulitoa vihoja pale ambapo hata mwenye ukumbi alikuwa hajui nani kakodi ukumbi na kwaajili shughuli gani, kiasi cha kusababisha , kwa siku moja bendi mbili zitumbuize kwa wakati mmoja , huku wengine tukisikiliza warembo wakijibu maswali.
KINONDONI MWAKA HUU BURE KABISA HAMNA KITU...
ReplyDeleteJAMANI ANAJUA KISWAHILI MFRESH LAKINI MAANA MAMBO YA KUMPELEKA MTU ANASEMA BANA MIMI DIO MISS KINONDONI NIMESHINDA TOTO YOTE REMBO YA PALE DARISALAMA HATUTAKIIIIIIIIIIIIIIII HIYO NITAKUJA KUSHIRIKI MWENYEWE NA SHARP YANGU YA MICHELEN MKINIUZI
ReplyDeleteUbaguzi wa nini sasa?Acheni upuuzi na sera zisizokuwa na mpango.Yeye si Mtanzania?na kama sikosei ameshawahi kutuwakilisha vyema tu katika mashindano ya kimataifa.Watu wengine wanakuwa na chuki za kipuuzi,sawa unaweza ukawa unawachukia baadhi ya watu wa asili yake lakini chonde chonde jamani.Huyu mtoto anaongea kiswahili fasaha utafikiri kafundishwa na mzee Mwinyi vile.
ReplyDeleteMichuzi siku zingine soma haya maoni ya wadau wako maana wengine ni watu wenye chuki na wabaguzi wa rangi na hawastahili kupewa fursa ya kumwaga chuki zao.
sasa huyu ponjobo wa nini atoke huko akashindane kwao india. Hata kama anavigezo aende india kwao, sujui oman.
ReplyDeleteJamani nchi nyingine zikijitahidi kuondoa rasism sisi tanzania ndo tunaipa bendera, kwani muhindi sio mtu. yeye ameshinda kihaki.
ReplyDeleteMjue kiyama sio mbali eti leo mweusi ana zungumzia lugha ya kibaguzi!Wakati tumeozoea mweupe kumbagua mweusi!!!
ReplyDeleteIndia hawa ubaguzi leo Mtaliano Mrs Sonia Ghandhi anaongoza chama cha congress kinacho tawala India!Tanzania mtakubali mtaliano aongoze CCM??
Acheni Ubaguzi Nyie !!!!
Mimi mijitu inaniudhi sana sanaa hivi mtaacha lini kuwa wanafikii hawa watu wanavyowadharau nyie msingekuwa wanafikiii natoa hoja hakuna wakutuninyima na hii ni blog huru ya kutusaidi tutoe madukuduku yetu mmesahau yule kaka yetu juzi juzi alienda kutaka kupanga nyuma muhindi akamdharau sio na huyu muhindi alie changia hoja kama sio wahindi tusingefika tulipo watanzania tena mzuka unanipanda ngoja niishia hapa
ReplyDeleteAcheni hizo!! Nyinyi mnafikiri mmatumbi toka bongo anaweza kushinda Umiss India huko India? Nafikiri kuna haja ya kuweka sheria kwamba washiriki wote wawe wanajua kuzungumza kiswahili fasaha na pia wawe ni raia wa Tanzania huyo Mhindi si ajabu ana uraia wa India, UK, US, Canada na kwingineko. Wahindi tunawajua!!
ReplyDeleteWewe hapo juu unajua unachoongea au basi tu hivi gulamali alikuwa mmakonde au dewji junior ni mchaga uoni mbona ni wa Asia na tumewapa kura CCM sio sasa sisi sio wa ITALIANO ndio maana hatuwezi kumpa kura MITALIANO halafu huyo sonia ghandhi uoni jina lake tu umeona MITALIANO anaitwa Ghandhi
ReplyDeletehuyu sio yule aliyeenda kushiriki miss earht kipindi fulani hivi??..au nimemfananisha??...hehe..wish her good luck
ReplyDeleteHuyo Gulamali na Dewji mmewapa kura au mmewauzia kura? msijidanganye kama nyie hamwabagui wahindi basi wao hawajiweki sawa na nyie. Ulishawaona wanishi manzese anu yombo?? Au wapo wanatusaidia kusafisha BOT?
ReplyDeleteBreaking news zangu hapa hapa nimefanyiwa ubaguzi na muhindi dakika hii ametoka department nyingine amenipita fyaaaaaa ameenda kumuuliza swali mzungu wanatuona sisi wajinga sana hawa watu mimi nalia jamaniiiiiiii uwiiiiiii
ReplyDeleteMibaguzi haina rangi wala kabila...na ninachukia sana hii tabia,na cha ajabu yanayoandika hapa yanaishi nchi za wazungu na ni ya kwanza kulalamika inabaguliwa na wazungu hata kama sio kweli lakini hapa ndio imeonyesha jinsi yenyewe yalivyo,acheni tabia za kishenzi ng'ombe nyie mliokosa mikia na ukibaguliwa na mzungu haimanishi wazungu wote ni wabaguzi same kwa weusi sio wote wabaguzi....ubaguzi ni form of ignorance & insanity mnahitaji kutibiwa
ReplyDeletejamani sio ubaguzi lakini huyo anaiwakilisha vp tz? mwafrika lazima ujivunie rangi bwana sasa huyo.............haya
ReplyDeleteSO WHAT...... IF SHE IS BEAUTIFUL AND SHE SPEAK SWAHILI AND IS A BONGO GIRL. WELL LET HER BE MISS 2007..
ReplyDeleteJamani watanzania tukue kidogo.yeye ni mtanzania na kazaliwa Tanzania na amekulia hapo,sasa haina haja ya kumuita gabachori wakati yeye ni mzaliwa wa Tanzania.Nadhani hii tabia inafanya hata wao pia warudishe ubaguzi kwetu mara tatu yake.Mimi hapa pia ni msomali kwa baba na mama lakini nimezaliwa bongo na kukulia bongo but sometimes if am with my fellow Tanzanians i feel am Tanzanian but still some ppl will call me msomali eventhough i dont like it but am used of it.So we r all Tanzanians tusibaguane kwa rangi au utaifa kwani wote sisi ni watanzania na tunaongea lugha moja ya kiswahili.Mdau Malmö,Sweden.
ReplyDeleteYesu karibu anakuja duniani!Mweusi anabagua????Maajabu maana weusi hawana hulka ya ubaguzi ila inawezekana dunia inabadilika,wamesha anza kupatika "makaburu weusi"
ReplyDeleteHuyu binti uhindi wake ume cost!nafikiri angepaka rangi nyeusi usoni mwake labda angeonekana Mtanzania zaidi,asili yake,rangi yake unamfanya asiwe mtanzania eti kwa kuwa ana asili ya kihindi!Pia kama kuna mwafrika raia wa Ulaya akitaka kugombea u miss huko basi nae apake rangi nyeupe ili anonekane mzungu!kuna mweusi mmoja huko ufaransa alikuwa kuwa miss france lakini hajawambia mweusi!
ReplyDeleteMie nawashauri mabinti wote weupe lakini raia watanzania wakitaka kugombea miss Tanzania kwanza wapake mashizi kwenye nyuso zao ili waonakane watanzania maana asili yao na weupe unawaponza!!
chini kabisa ya moyo wangu nahisi "umiss" ushafika misho sasa.Kwangu mi suala sio uasili wa huyo mshindi,bali urembo wake sijauona labda computer nitumiayo ina matatizo. Nimetembelea ka faza kidevu pia nimeona mabinti ambao sijui wanafanya komedi kwenye umisi au wako siriaz!
ReplyDeleteImekuwa kama bono flava,ilimradi una hela ya kuingia studio
Mtasema sanaaa lakini hatumtaki muhindi miss tanzania Michuzi funga topic hii sasa kwanza wote wanafiki wabongo kwakujikomba komba mpaka siku ya wakute ndio mtajua ukweli wake halafu shhhhhhhhh wote
ReplyDeleteJamani mimi nimeishi udosini miaka takriban mitano. Haitowezekana hata siku moja kama ninge zaliwa india na kuongea lugha zote za nchini humo Wahindi waruhusu mweusi agombee japo umiss kitongoji. kwa hiyo wanao exress feelings zao kwa kuto furahishwa waacheni waseme that is a fact Tanzania sio USA wala SA.Mwisho nasikitika kusema kuwa sita shangaa huyo binti akawa Miss Tanzania 2008 subirini mtaona
ReplyDeleteUbaguzi, ubaguzi, ubaguzi.....neno hili lilitakiwa lizungumziwe kabla ya mwaka 1961(kabla hatujapata uhuru).......lakini kama mpaka leo tunalizungumzia inabidi tukatibiwe.
ReplyDeleteMaana tukimaliza kuwabagua wahindi tutaanzana wenyewe kwa wenyewe; huyu mngoni, mhaya, mpare....n.k Haitaishia hapo itakuja huyu mhaya wa Kanyigo au mhaya wa Kamachumu...n.k. Na bado tutazidi kubaguana hata kwenye koo na familia zetu.
Huyu Miss Kinondoni akishinda Miss Tanzania ni kwamba atabeba bendera ya Tanzania na sio ya India au nchi nyingine.........na mimi kama ni mtanzania nitam-support mtu yeyote atakayelitangaza jina la nchi yangu popote duniani bila ya kujali mtu huyo ana rangi gani.
Kutokana na ufahamu wangu wa mashindano ya U-Miss ni kwamba Rachel atakuwa ameshinda kwenye vigezo vyote ikiwa ni pamoja na kujieleza. All the best katika kupigania taji la Miss Tanzania.
huyu dada ha deserve kuwakilisha taifa letu,hapa hakuna ubaguzi ni suala la HAKI SAWA KWA SOTE!!! JE DADA WA KITANZANIA ALIYE ZALIWA INDIA NA ANAZUNGUMZA LUGHA YAO,JE JAMANI DADA HUYO ATAWEZA KUSHINDA TAJI LOLOTE HATA LA MTAA KAMA YEYE SIO MUHINDI????KWA NINI DADA HUYU APEWE!!! NYIE MSHAWAHI KUMUONA MTU YOYOTE BLACK HATA KAMA KAZALIWA INDIA AKAKWAMBIA YEYE MUHINDI NA ANGALIENI WAPUUZI HAWA WANAVOPENDA KUNG'ANG'ANIA MATAIFA YA WATU.....
ReplyDeleteKama huyu dada ha-deserve kuwa Miss Kinondoni.............kutokana na maoni ya wengui, hii inasababishwa na rangi yake. Je, majaji waliomchagua ni wahindi?
ReplyDeleteUbaguzi ni laana na tusipoacha tutarithisha vizazi vyetu.
Lundenga na Team yake kwisha kazi jamani, mie sibagui lkn namba mbili ndo kana mvuto zaidi, yaani yuko bomba, alistahili kushinda jamani huyo no.2 mwenye kuvaa number 11. Huyu mhindi hajanifurahisha hata kidogo, inaelekea wadhamini wa mpambano huu ni wahindi na jamaa wa karibu na huyo ponjoro aliyeshinda, lkn powa tu ndo ishatokea!! Kinondoni 0 kweli huyu mhindi angeenda kugombania miss upanga huko!!
ReplyDeleteMI NAONA MISS TANZANIA COMMITTEE WAKO DESPERATE BAADA YA KUONA WAMEFUNIKWA NA MISS UNIVERSE TANZANIA.
ReplyDeleteHUYO MHINDI HAFAI KUWAKILISHA TANZANIA KWENYE MASHINDANO YA UREMBO.
IT'S RIDICULOUS !!! NI KITUKO HASWAA!!
IMEFIKA WAKATI SASA WATU WEUSI TUPIGANIE IDENTITY YETU. SIJUI NI KINA NANI WATAKUWA MAJAJI MISS TANZANIA LAKINI HUYU MHINDI HATA KAMA ANABEBWA NA WENYE PESA, ANA KIINGEREZA KIZURI, AMESOMA, NA ANA VIGEZO VYOTE VYA KUSHINDA MSIMPE UMISS TANZANIA. FULL STOP!!
DON'T BE NAIVE MY FELLOW TANZANIANS. UBAGUZI UPO NA UTAENDELEA KUWEPO. IT'S IN SUBCONSCIOUS MIND OF ALL WHITE PEOPLE TO LOOK DOWN ON BLACK PEOPLE. HATA KAMA USONI ANACHEKA NA WEWE NA KUJIFANYA ANAKUTHAMINI. AKIWA CHEMBA NA WENZAKE WANAKUNG'ONG'A.
HATA SISI WEUSI PIA NI WABAGUZI. REACTION ZILIZOONESHWA HAPA KWENYE BLOG ZINATHIBITISHA KWAMBA TUNA UBAGUZI NDANI YETU. NA TUSIONE AIBU KUWA WABAGUZI WAKATI TUNABAGULIWA.
ETI JAMANI, TANGU LINI WEMA KWA MTU ASIYEKUJALI IKAWA DAWA?
RACHEL NDIO ALIKUWA MWAKILISHI WETU MISS EARTH NA ALITUWAKILISHA VIZURI INGAWA HAKUSHINDA!! MIE NAMJUA PERSONALLY AMEZALIWA MWANZA AMEKULIA MTAA WA RUFIJI,AMESOMA SHULE ZA WAZAWA,ANAZUNGUMZA LUGHA ZIFUATAZO KWA UFASAHA KABISA KISUKUMA,KISWAHILI NA KIINGEREZA!!! KIHINDI HAWEZI KABISA.KWA SASA ANAISHI KARIAKOO KATIKA MAISHA YA KAWAIDA KABISA YA KILA MTANZANIA.IF JUDGES AND COMITEE VOTE "YES" FOR HER WHY NOT US? RACISM IS FORM OF IGNORANCE AND INSANITY.....!!! MUNGU IBALIKI TANZANIA WABALIKI NA WATU WAKE
ReplyDeleteHuyo dada kama atachaguliwa kuwa Miss Tanzania na ataenda kuwakilisha nchi basi wampake mashizi akiulizwa huko aseme huko Tanzania wanataka ma miss weusi weupo hawakubaliki,maama hapa tatizo ni Rangi yake kwa hiyo ni bora akabadilisha rangi yake ikawa nyeusi huenda atakubalika.Kwa hiyo tukubaliane jamani tatizo la huyo binti ni RANGI YAKE sio uraia wala kuzaliwa kwake Tanzania?
ReplyDeleteHuyo Mhindi akabadili rangi nyeusi haraka sana kabla ya kushiriki miss Tanzania awe mweusiiii!Halafu kuanzia sasa kwenye form za kujiunga waweke viegezo ya rangi ya ngozi,kama mhindi,mzungu nk marufuku kushiriki u miss kwa kuwa wao weupe!
ReplyDeleteTuwaambie nyie mnatubagua basi nasi tuta wabagua!
Kama mtu anataka kushiriki u miss kama yeye mweupe abadilishe rangi ya ngozi yake awe mweusi!
Halafu tutangaze kimataifa hii ni sera ya nchi yetu Tanzania!
Pia hakuna mweupe yeyote kuishi Tanzania ama kupewa uraia wa Tanzania hii ni nchi ya weusi tuuu!Pia misaada ya weupe kutoka ulaya hatutaki tutaka misaada ya weusi tu!Wazungu marufuku kuja mbuga za wanyama zetu tuta taka watalii weusi tu!Wawekezaji weupe hatuwataki tuna taka wawekezaji weusi tu.Magari yataketengenezwa na weupe kutoka japan na ulaya hata yataki.hatutaki watu weupi kabisaaaaaa!
Nafikiri kuna watu wenye fikra za kama huyo annoy 10.09 sijui anaishi dunia ipi!Huenda ana ugonjwa ya ubaguzi
Cha ajabu huyu binti ni msukuma sio muhindi.Kwa hiyo sijui watu watampinga kwa kuwa hafanani na wasukuma wenzake.Sio utani someni utambulisho wake au wasilianeni na watayarishaji wa Miss Kinondoni au Brother Michuzi anaweza kusaidia kuondoa utata huo wa watu kumbandika uhindi.
ReplyDeleteAcheni unafiki palipo mweusi na mweupe tupende tusipende popote duniani kuna ubagauzi wa aina fulani hata kama mtu hasemi kiwazi.
ReplyDeleteInapofika kwenu issue inayohusu taifa kila mtu angependa mtanzania halisi ashike nafasi hiyo. Kama kuna mashindano kati ya watanzania mtu angependa kabila lake lishinde inapofika pia kwenye family kama nduguyo yuko kwenye mashindano fulani ungependa nduguyo ashinde it is natural na si dhambi sasa mnaficha nini na huu ndioo ukweli?
Halafu mjue kwanza siku hizi kuingia kwenye mashindano hayo ni pesa yako sio uzuri. Tuna mabinti wazuri sana kuliko huyo dada hapo lkn hawana uwezo.
Jamani huyu mdada hata kama angekuwa mweusi mi naona uzuri wake haufikii kiwango... aah ni acheni niseme
Kuongea kisukuma, kuishi kariakoo na rufiji bado ukweli uko pale pale ni mhindi.Utamwelezaje mtz wa kawaida wa kijijini akuelewe? This is happening all around Obama ni mkenya mmarekani lakini hata kuwa rais ng'o kwasababu si mweupe. mfano mwingine ngojeni dewji atake kugombea urais muone pamoja na kwamba babu zao wametokea singida. Hivi ni vitu ambavyo tunalazimisha kuvifumbia macho kidiplomasia lakini mioyoni ukweli tunaujua. Mfano mwingine wa mwisho hapa US mtoto akizaliwa hapa pamoja na kuitwa raia lazima akafanye test ya kiingereza unafikiri kwanini wasi wave hiyo test wakati wanajua mtoto ni wao na hajatoka nje ya nchi. Angeitwa rachel nkwengulila labda
ReplyDeleteWewe anon mtoa maoni wa July 9, 2007 12:24:00 PM EAT YOU ARE STUPID!!
ReplyDeleteYou are applying logic to emotional issues. You are deceiving yourself if you ever think Logic is more powerful than emotions. You are in denial.
Kwa taarifa yako maamuzi mengi ya binadamu ni emotional, wala sio logical. Mtu akishaamua kwa hisia zake ndio anatunga logical statements za kuwananga wasikizaji waone ana busara.
Anon July 9, 2007 12:24:00 PM EAT umenifurahisha sana katika watu wenye Akili hapa duniani wewe ni wa pili baada ya mimi maana nilikuwa nafikiri kumjibu huyo kwanza nilijibu michuzi amenibania msg yangu
ReplyDeleteUPUMBAVU MTUPU.."MAMBO YA BONGO HOI..
ReplyDelete