Salaam za Mwaka Mpya kwa wadau wote wa Blog hii.Ninawatakieni kila la kheri na mafanikio katika mwaka mpya ujao.Na sasa na sie Liva tutabeba PL baada ya miaka 20 - hatuna wasi na CL kwani hiyo ndio kawaida kuenda mpaka Fainali Moscow safari hii - miaka minne Fainal 3!!!!!!!!!!!!!!!
Pichani nikiwa kwenye Jukwaa la Kop 2002 nilipoenda kuona Mechi na newcastle ambao tuliwanyuka 3-0 na mfungaji akiwa Michael Owen. Hili ndio Jukwaa la wakereketwa hasa wa Liverpool FC maana ukikosea ukajiingiza hapo ukiwa umevaa jezi ya timu pinzani basi utaipatapata maana unaweza usimalize kuagalia mechi na ukateremshwa.
Pichani nikiwa kwenye Jukwaa la Kop 2002 nilipoenda kuona Mechi na newcastle ambao tuliwanyuka 3-0 na mfungaji akiwa Michael Owen. Hili ndio Jukwaa la wakereketwa hasa wa Liverpool FC maana ukikosea ukajiingiza hapo ukiwa umevaa jezi ya timu pinzani basi utaipatapata maana unaweza usimalize kuagalia mechi na ukateremshwa.
Ni mimi Mkereketwa wa kutupwa No.1 wa Liverpool FC hapa Zenji. Murad Vellani
Safi saaaaaana Murad!! Nimeipenda post yako!
ReplyDeleteMwaka huu lazima tufanye mambo!!
Happy New Year !
Mtani leo naona umechomoa kwa Derby.Kha kweli tutafika tu.Wacheni kelele na kujisifu ligi ngumu.
ReplyDelete