wadau ambao ni wafanyabiashara wakubwa na wajasiriamali wadogowadogo toka bara na visiwani pamoja na mbunge wa mtwara mjii (sio lindi kama ilivoandikwa awali kwa makosa) mh. muhamed sinani majuzi walitembelea uturuki katika ziara ambayo ilifana sana. mtasha mwenye tai wa tatu shoto picha ya juu ni mwenyeji wao meja wa jiji la istanbul

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 27, 2008

    Ubatani?????? I say again Michuzi Turkey??? tafuta kamusi mzee........

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 27, 2008

    ulayaa hukoo!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 27, 2008

    Tanzania nako mnachekesha, siku hizi wahindi wanaitwa "watasha".....
    Ila kweli, kwani nadhani tukiiacha Mauritius ulimwenguni, Tanzania ni nchi mojawapo ambayo bado wahindi wanaila kwa kusonga mbele....Viongozi wanawatetemekea, na wahindi wanapeta, kwa hiyo sioni kuwa ni tatizo kubwa kwa michuzi naye kuwaita wahindi kuwa ni watasha...maana ndo watasha wa bongo.

    ReplyDelete
  4. Hali yako!
    Najua unakuwa hutoi maoni yangu, ila nataka kukufahamisha kuwa huyo jamaa unayedai ni mtasha si Meya wa Istanbul kama wamekupa taarifa hizo, si sahihi. Meya wa Istanbul unaweza kuangali picha yake kwenye link hii http://www.haberler.com/kadir-topbas/biyografisi/. Ni tofauti kabisa na huyo jamaa aliye kwenye picha hiyo. Meya wa Istanbul jina lake ni Kadir Topbas. Sahihisha tafadhali.

    Mdau,
    Ubatani.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 27, 2008

    Huyo siyo mtasha bali ni M'BATA

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 28, 2008

    Acha ushamba Issa tunajua unasafiri kila kona ya ulimwengu bado ujajua WATASHA ni watu gani ?

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 28, 2008

    michuzi
    michuzi bin misupu bin dc wa tegeta naomba huyu mdau amjui mbunge wa lindi ni mkuu wa mkoa wa tanga kwa sasa anaitwa mohamed abdu al azizi jamani chonge toa hayo maelezo asije akafunga blog yetu bule mimi namjua huyu mh. sana ana asila sana

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2008

    Wadau msimsakame michuzi mno, inawezekana maelezo hayajitosheleza, ila Mr. Michuzi ametumiwa picture nyingi tu, labda kutokana na ufinyu wa nafasi ndio maana kaweka hizo mbili. Huyu jamaa aliyesema ni Meya si meya bali ni Mr. Ibrahim ambaye ni Mturuki na ndiye coordinator wa huwo msafara na kweli kwenye hiyo picture kuna muhindi kutoka agro vesion lakini yeye pia ni mfanya biashara, kwa wadau wote wenzetu wana-advantage ya rangi hivyo wanaweza kuitwa watasha, tuwe na open mind tukijua kwamba michuzi hakuwepo kwenye hiyo safari na ndio maana maelezo yake hayajitoshelezi. Na labda tumuombe michuzi aweke picture zote alizotumiwa.Dk.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 28, 2008

    Kaka Michuzi naomba kusahihisha kitu hapo,Huyo mbunge si wa Lindi bali ni wa Mtwara.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 28, 2008

    Mh SINANI ni mbunge wa jimbo la MTWARA mjini na si LINDI, fanya masahihisho tafadhali.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 28, 2008

    huyo si meya,, huyo anaitwa mr .ibrahim bicaci,, alikuwa headmaster wangu FEZA secondary school.. sijui kama bado anaendelea. mr sinani pia alikuwa ni mdau mkubwa hapo feza.. mtoto wake mohammed sinani alisoma pia pale feza na tulienda nae trip hapo turkey mwaka 2005..

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 31, 2008

    MICHUZI KARUDIA TABIA YA KUFICHA MAONI YA WADAU. ANASAAU KABISA NINI MAANA YA BLOG.
    Tumeuliza swali, pichani wakitambulishwa wafanya biashara maarufu. Mbona hatuwaoni kina BENI MULOKOZI ambao wanajulikana hapa bongo miongoni mwa wafanya biashara maarufu, waliomudu hata kwenda na Rais, nchi za dunia ya kwanza? ila walimfanyia fitina Beni kuingia Italy akambiwa arudi nyumbani? sio siri na hili sio swali baya kwanini UNAFICHA MAONI. Na pia wajue sio poa kumtenga Beni. Shukran.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...