Kaimu Mufti wa Tanzania, Shekhe Suleiman Gorogosi akipokea kalenda inayoonyesha ratiba ya muda wa kufunga na kufuturu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kutoka kwa bosi mpya wa Masoko wa kampuni simu za mikononi Zain Tanzania, Kelvin Twissa, vilivyotolewa na Kampuni ya Zain kwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), jijni Dar hivi karibuni. Kalenda hizo zitasambazwa misikiti yote Tanzania.
Home
Unlabelled
kelvin twissa aibukia zain kuendeleza libeneke
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Wadau naomba kujua CV ya Kelvin Twissa,ananivutia sana kurudi Bongo kumbe kazi zipo.Kama anabadili badili kazi ina maana kazi zipo.Naomba kujua CV yake wadau
ReplyDeleteWenu Mdau BBA graduate
Looh afadhali kaka michu umebainisha bayana mapema kwenye sentensi yako ya kwanza kua ni ratiba ya mida ya kufunga na kufuturu kwa maana adhana. Si ratiba ya miezi ya kuanza kufunga inapotoka, maana nijuavyo mimi mwezi unapoonekana na zaidi ya mtu mmoja au wawili ndo mfungo unaanza vereje mwezi uonekane mombasa east africa lakini tanzania bado tunabugia siku moja zaidi au wenzetu wanashereheka na iddi east-africa sisi tz bado tumo kwenye mfungo?kuna siku miaka minne iliyopita tulipata mgeni nyumbani kwetu, siku ya mwisho ya kuanza kuangalia mwezi kuandamia iddi kumbe alianza kufunga kwa tangazo la mombasa, asubuhi kabla hatujaamka akenda masjid na kuunganisha tarawehe ya iddi na sala ya iddi, aliporudi akanambia mamakee mi leo iddi, hapo kwa kweli kwa taratibu za heshima kwa mgeni ilibidi nimtayarishie futari ya idd asubuhi kisha nimpikie lunch nzuri ya tofauti baadae tukaendelea na mapishi ya ftari ya jioni kwa ajili ya familia yangu, baada ya hapi usiku tukasikia kuwa bakwata wametangaza mwezi ndipo tukajumuika wote tena .
ReplyDeleteNinachotaka kusema hapa enyi mashekhe wetu watukufu mtuongoze vema na kutuweka pamoja bila ya kutugawa mafungu siku ya kufunga na kufungua tujumuike pamoja sio makundi mawili. Jitahidini mashekhe, hili jambo likikomaa litatugawa umma wa Muhammad s.a.w rehema na amani ziwe juu yake.
asalaam alykum
We acha tamaa jitahidi kuwa mjasiriamali. mie nauliza huyu sheikh gorogosi na jamaa zake bakwata nyama zetu vp??????????
ReplyDeleteWatu wengine bwana, unaomba cv ya jamaa kwenye blog!! kweli kusoma siyo kuelimika, kwa elimu yako nilidhani ni muungwa ungeomba email yake ili akupe ushauri badala ya kuomba cv yake hadharani "bloguni" na BBA yako wakati watu wana Masters.
ReplyDeletecheck na mshkaji kwa kelvint@zain.co.tz atakushauri uondokane na umbumbumbu
wewe rudi tuuu nani kakwambia kazi hakuna huku, kazi mwele ni uwezo wako tuu kichwani, mie mwenyewe hapa nina offa tatu nashindwa hata kuchagua, kilichobaki nawashindanisha wenyewe wapandishane madau.
ReplyDeleteWELCOME HOME KAKA
Papaa Kelvin ndio maana ulikuwa hausikiki Tigo kumbe umesonga mbele,nakuaminia mtu wangu we ni 'mutu ya kilo' najua utaendeleza libeneke la nguvu huko Zain.
ReplyDeleteHongera Kelvin, Huyu kijana huwa aninifurahisha sana yupo makini kwenye kazi. Safi.
ReplyDeleteNakuzimia kaka wewe na mafanikio yako unajua kazi kijana Kelvin. Kila la Kheri na Mungu akulinde
ReplyDeleteWIVU WA WATANZANIA NDIO UNAWARUDISHA WATANZANIA NYUMA KIMAENDELEO KAMA HAPO JUU WADAU WENGINE WALIVYOSEMA KWA MTU MWENYE BUSARA NA ELIMU YAKO YA KAFIRST DEGREE UNGETAFUTA NJIA AU USHAURI WA JINSI WATU WANAVYOPATA KAZI SIO UNAULIZA CV YA MTU KWELI KUSOMA WAKATI MWINGINE SIO KUONDOA UJINGA
ReplyDeletejamaa ni mchapa kazi na amejua kutumia media kukuza biashara kitu ambacho bongo tuko nyuma sana.
ReplyDeletekwahio mbinu nyingi zilifanikiwa pale tigo ndio maana zain wamemchukua.makampuni mengi yanatakiwa yaige mfano huo.
Wabongo kwa uchawi? Mbona mko hivyo? mwenzenu kaomba CV sasa cha ajabu ni nini?
ReplyDeleteHapo ni issue ndogo sana na waliosoma nae wangekuwa wa kwanz kumention shule walizosoma naye that is it.
Mbona huku tuliko watu wako so proud kusema walikosoma na wana nini kichwani? ila bongo ni kuficha ficha tu. Sijui hivyo vyeti mlivipatia wapi?
Ano. 5:50 pm true. wanaficha na kumchana mwenzao aliyesema BBA you know why? long distance courses not even a Degree or Masters watu hawataki competions au mabadiliko ukila hapa unatoka then unaenda kala pale si unawaambia tu will give u misharaha yangu ya miezi mitatu ya mwanzo that's how it works!
ReplyDeleteAna nondo za kufoji kutoka Franklin University, kule Ohio
ReplyDeleteanon 12:41 wewe ndio kabisa ueleweki unachoandika kama mtoto wa darasa la 3 rudi shule haraka sana ujachelewa
ReplyDeleteAcheni roho mbaya!!nyie ndo mnaoroga wenzenu kisa wana kazi nzuri.Hayo yote yamakujaje kisa jamaa mambo yake yametulia?
ReplyDeleteMmeniuzi sana mijitu mingine bwana,we kidegree kinakutia wazimu mi mbona na post nimetulia tu!
ACHA WIVU MTOTO WA KIUME!!