Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, (IGP) Said Mwema , akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya siku tano ya awamu ya pili juu ya   usimamizi na udhibitii wa fedha na mali za Serikali kwa Jeshi la Polisi nchi kwa Maofisa Wanadhimu wa Mikoa, Wahasibu wa Mikoa, Maofisa Mipango wa Mikoa na Vikosi vyote vya Tanzania
Juu na chini ni baaadhi ya Maofisa na Wanadhimu wa Mikoa, Wahasibu wa Mikoa, Maofisa Mipango wa Mikoa na Vikosi vyote vya Tanzania vya Jeshi la Polisi ambao ni washiriki wa mafunzo ya awamu ya pili ya usimamizi na udhibitii wa fedha na mali za Serikali kwa Jeshi la Polisi wakiandika dondoo na wengi wakimsiliza IGP  Said Mwema ( hayupo pichani) wakati kufungua mafunzo hayo ya siku tano. Picha zote na mdau wa Kasoro bahari John Nditi 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. wengi wao wamenona!!!!
    sasa sijui ndio mambo ya mkwanja au ulafi tu

    ReplyDelete
  2. Hapo yanaingia sikio hili yanatokeaa upande mwingine.makamanda wa mikoa ndio wezi wakubwa wa pesa za serikali na askari.Hiyo ni danagnya toto tu hapo.Tunafahamu vizuri sana,geresha hizo

    ReplyDelete
  3. sasa mkuu wa wilaya tageta,mie nna swali ?hawa jamaa si ndio walimpa kichapo !mwanahabari Mroki au??
    halafu mlisusia kutoa habari zao? sasa kwanini leo wapewe nafasi hapa barazani wetu?tena wametandikiwa msala au mkeka mpya???

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...