mdau emmanuel makala elia na mai waifu wake brenda j. kileo wakipozi na mama mzaa chema leo baada ya kumeremeta katika kanisa dogo la chuo kikuu jumamosi hii
mama wa bwana harusi akipozi na maharusi
mama wa bwana harusi akipozi na maharusi
mchungaji Hiza keshamaliza kuwameremetesha emmanuel na brenda
Michuzzzi, halahala, jamaa ndo kaoa halafu unapiaga konozz!?
ReplyDeleteIla jamaa anafanana na bro wake "jump arnd". Sijui na yeye jump lini ataachana na ukapera (kama bado).hihihi
Michuzi kuvaa flana na jeans kwenye harusi ya wenzako ni dharau gani hiyo, huwezi kuvaa casual close kwenye sherehe ya mwenzio, please you have to know dress code of the invent!! thank you for taking this in your consideration coz wearing flanas on the weddings making me sick.
ReplyDeleteJay P,
ReplyDeleteNaona umetoka kama Jamie Dimon hapo :) Ncheki kwenye sametime :)
congratulation Makala......wish you all the best in ur new life with ur wife and family....God bless
ReplyDeleteKwa kweli wamependeza nawatakia maisha mema ya ndoa!!!!
ReplyDeletehongera wanameremeta haooooo kumbe ulikua unapiga box la overtime ndio maana picha zimekuja haraka haraka
ReplyDeleteNB: gauni la bibi harusi is a plus
Diazz diaz diaz iazz diaz diaz,diazz diaz diaz Hongera sana !
ReplyDeletewanependeza sana
ReplyDeletenaungana mkono na Anonymous hapo juu kuwa Michuzi hii nini maana ya kuvaa t- shirt hiyo kwenye shuhuli ya nguvu?Dress code ni muhimu na sisi wabongo kwanini hatuelewi?Michuzi hapo umeharibu picha, samahani ila huo ndio ukweli.
ReplyDeletePili Jump around hii sasa ni challenge kwako kaka! Tunasubiri yako, michango ipo.
Huna hata haja ya kumuomba samahani mdau. Mkuu wa wilaya ya nini anaharibu kusema ukweli...analo hilo! next time badilika ndugu yetu,noma!
ReplyDeleteCongratulations to both of you. Ya'll looking sharp! May God lead you in your new life.
ReplyDeleteooohhh brenda cnt belive this..ohh my God,u both look gorgeous.Yeruaaa...mangi eehh.
ReplyDeleteKaka sasa nimeamini umeachana na ukapera... Hongera sana kaka a.k.a mzee wa madiaz.... Jana harusi ilipendeza sana kwa kweli wanakamati inabidi wajivunie kwa kuweza kufanya jambo kubwa namna ile. Wish you all the best brother.
ReplyDeleteMungu awabariki katika kila jambo mtakalolipanga
Huwezi ukaenda kwenye Harusi za watu wamependeza namna hiyo na ze fulana lako kaka. Unatia aibu,ona sasa ulivyotia doa harusi ya watu. Tena umemwekea mkono mke wake halafu nguo zako mbaya!
ReplyDeletenasikia harufu ya pajazzzzz.
ReplyDeleteOya! Paparazi kama Michuzi inabidi saa nyingine ajibabatize ktk kona zenye buibui,apige goti, alale kifudifudi, aingie ktk water fountain, arudi kinyumenyume mara amegongana na 'shaba la pilau' n.k yote ikiwa apate picha za nguvu za wateja wake.
ReplyDeleteSasa Michuzi akivaa kama mualikwa wa harusi atakubali suti yake iingie maji ya chumvi au amwagikiwe na 'rosti'?
Mdau
WaMinuso.
Hongera sana my young bro and my neighbor at UDSM Makala. Mmependeza sana sana. Pia nakupa big Up kwa kuweza ku-maintain hiyo body size yako hapo bongo mpaka sasa. You look good brother. Ukianza kupikiwa tafadhali jitahidi uendelee ku-maintain body size yako pamoja na utuuzima utakapokuja.
ReplyDeleteMdau Canada.
Nilionaga siku moja kwa judge Judy mtu amemsue mpiga picha kwa kwenda kwenye sherehe yake na crew yake yote walikua wamevaa sloppy shirt na malapa. Alisema watu wale walimuharibia mandhari ya sherehe yake. Aliwin akalipwa
ReplyDeleteUnatakiwa Michuzi uvae suti. Kila siku unavyoruka hujapata kasuti kacheap cheap ukakafanya kakuvaa tu kwenye kazi hiyo.
Ukija kwenye harudi yangu tunaandikiana contract. Hiyo tshirt isitokee wala kukaribia mita 50.
Mkuu Makala Hongera sana, Jump Around nawe lini maaana kama Basketball sasa huchezi tena tafuta mwenza utulie.
ReplyDeleteMshikaji kwenye picha ya 10 kutoka juuu KWA MINUSOOOO tupo naye UDSM pale hehehehehehehhe
Jamani hako ka fulanaz sio kwamba kapo kamoja tu. Ni uniform ya Bwana Michuzi. Anazo kama saba hivi. So tulizeni boli na acheni kumlaumu.
ReplyDeleteKwa wale wanaojishughulisha na mambo ya taswira na wanaojua ubora wa picha naamini wanaona hili.
ReplyDeleteNasema Kaka uko juu na naendelea kujifunza. Maharusi wamependeza lakini na utaalamu wako wa kunasa taswira zao ni wa jhali ya juu.
AMANI KWAKO
ebwana hiyo t-shirt daily kaka du nunua nyingine mazeeeeeee....mdau MBIJE,A-Kafanabo
ReplyDelete...balozi kakamata begazz na mume kakamata kiunozzz...
ReplyDeletemambo mswano
ila wazuri ao adi balaa,asa mwanaume HB
hahahahaaaa teh teh hahahahahahah
ReplyDeletehahahahahaaaa...jaman kuna wehu umu uyo mdau wa "pajazzz"
sikutegemea dah!!ebu niache kusoma hii blogu nifanye kazi sasa
...uyu mwanaume mbona kama simwamini ivi...mh...kaka usimlize uyo mtoto mzuri
ReplyDeleteyan wanaume km awa nawaonelea huruma tu,mana uko dunian kuna ving'ang'a adi ukadata,na ukiingia tu hutoki wal'ai yan unapotelea uko
samahani lakini
ndoa njema
picha ya #2 toka juu
ReplyDeletemwanaume anatakiwa amshike ivo bibie au mwanamke ndo aingize apo mkono???
ni hayo tu,ila yu look great,asa bibie uko unique ilo gauni
wooooow!!!
ReplyDeleteHuyo mdau anayezungumzia mambo ya Judge Judy, basi na michezo ya Komedi na Mzee Small unamini yote ni kweli.
ReplyDeleteMichuzi yupo mzigoni, hivyo ubishololo wa u-celebrity anauweka kando.
Mdau
GateCrasher Mzoefu.
Jamani siamini kama kweli kipenzi cha watu ameondoka kaenda zake! Prof H. J. Othman ni lecturer wa pekee sijapata ona,yeye hakuwa na tabia ya kutisha wanafunzi kama wengine,alikuwa mpole, msikivu kwa watu wote asiyekuwa na majivuno na mengine mengi!
ReplyDeleteAlinifundisha DS first year 2005/2006 part ya DEMOCRACY AND GOOD GOVERNANCE bila
"desa" written materials kama reference lakini alivyokuwa NONDO si mchezo!
Amefanya mambo mengi yenye manufaa kwa taifa na kwa Africa nzima...........jamani kusema mengi nashindwa tumuombee kwa Mwenyezi Mungu ampatie pumziko la amani milele Amina!
Tufuate yale yote aliyokuwa anayahubiri na tukumbuke kuwa kila nafsi itonja mauti na sisi ni wa Menyezi Mungu na kwake tutarudi dunia siyo makazi yetu bali tu wasafiri:leo Haroub,kesho huwezi jua ni mimi au wewe bali tuwe tayari!
POLENI FAMILIA YAKE,UDSM,WAZALENDO WOTE NDANI NA NJE YA NCHI,AFRICA NA ULIMWENGU WOTE KWA UJUMLA!
Duh teacher wangu wa Library Education amependeza sana!
ReplyDeleteMaharusi wako mwaaaaaaa.....h!
Huyo bro wake hatafuti au yuko occupied? I fall in Love with hm jamani nsaidieni!
Hii Namba ya Bulombora hii kama sikosei. Umependeza, Mkuu ..kama kware!
ReplyDeleteAfande Abbas
hongera sana Makala!
ReplyDeletekaka... picha zimeenda shule ila huo mkono umeuzidisha,mwenye mali alitakiwa kufanya hivyo,ingawa utaitia kapuni comment yangu lakini ujumbe utakuwa umekufikia.next time ukifanya mambo haya jaribu kujiweka kwa mbali hata kama muolewaji ni sisa wako. embu angalia mara ya nyingine hii picha ya chini,naona utapata ujumbe murua.ila usimindi ni kueleweshana tu.
ReplyDeletebig up...!
Yaa Michuzi hii tabia ya kuwekaweka Mikonoz inabidi urekebishe. Mikono yeneyewe ni michafu mnachimba dawa halafu hamuoshi. Na joto la bongo pia inakuwa na unyevu unyevu halafu wewe ndio unaweka juu ya bibi harusi na nyeupe zake. Katika hali ya kawaida sio jambo la kawaida sana kuwekeana wekeana mikonoz namna hiyo, watu wengine tunawekeana mikonoz tu na wapenzi wetu.
ReplyDeleteHaya mjomba Makala Classmate Mlimani Primary na St.Anthony's O level hongera sana. Karibu kwenye club yetu Mdau Kays
ReplyDeletecha ajabu asa...
ReplyDeletebalozi ndo kajiachia yan kajiegemeza na kujisahau kabisaaa kwa toto kuliko ata mwenye mali
ila nanihii,hii tabia ya kikwako ya konozzz umeitoa wapi wee mzee misheni-town?mana sii tabia ya kitanzania ata kiduchu kulalia-lalia totoz like that,,siku utapigwa ngumi ya uso wewe??
khaaaaaaaaa
teh teh
wooooooooow!..mmependeza sana!
ReplyDeletehongera sana makala na brenda.Mungu awajalie mzae watoto wazuri (kama mlivyo), muwalee na kuwatunza vizuri....
Woow BRENDA... u look lovely as always!! May God bless u and ur husband Makala,have an adorable family as u ARE!!!!
ReplyDeleteHawa ndo wake sasa,so beautiful inside and out! aunt Bre mdogo wako kashakua? I promise to make her happy as u are with ur hubby!!
ReplyDeletenimeimiss hii couple heri ya mwaka mpya 2011!!! michuzi fatilia basi tuone matunda?!! naimagine mtoto atavyokua msupuu
ReplyDeletenimeimiss hii couple heri ya mwaka mpya 2011!!! michuzi fatilia basi tuone matunda?!! naimagine mtoto atavyokua msupuu
ReplyDelete