gavana wa mkoa wa dar mh. william lukuvi akihutubia kwenye mnuso wa dansi na lanchi ya usiku kuchangia elimu kwa wasichana walio kwenye maisha magumu (somesha mtoto wa kike project) katika ukumbi wa mlimani city conference hall usiku huu
unity of women friends (UWF) waliofanikisha
mnuso huu wa somesha mtoto wa kike (SOMKI)
wadau toka kila kona walihudhuria. mzee walter bgoya (shoto)
na mwanae waliwakilisha vyema mkuki na nyota
wadau kibao
yenu la in afrika band lilichengua
baadhi ya wanufaika wa mpango huu wa SOMKI
in afrika wakiwa kazini







Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Michuzi watu wanameremeta kama wapo mamtoni,hata sisi wa huku UK tunaonekana tumechoka kwao.
    Anyway,ni project nzuri hiyo,ila tu nao wabongo wataanza kuingiza ujanja wa kutia mfukoni pesa,itafika wakati project zitakuwa zasimamiwa na sheikh na mapadre

    ReplyDelete
  2. Michu you just made my day

    nishamwona wife (MM) sasa naweza kwenda kulala kwa kujua azizi wangu yu salama salmin!

    maana mwenzio zikipita siku mbili sijamwona humu moyo hunienda mbio kuliko kawaida

    ReplyDelete
  3. Namwona mtu hapo kama Mindi au?naona umechana ile mbaya..life nzuri naona!

    ReplyDelete
  4. SOMKI itawabadilisha watoto wa kike wafanane na Wamarekani wa Gazeti la Ebony au wafanane na Waafrika, msaada tutani?

    Mdau
    Mwaafrika

    ReplyDelete
  5. Nakuona Galina ...jamani mnapendeza sana..sisters are doing it FOR THEMSELVES !!!
    a supporter of good causes

    ReplyDelete
  6. membership imekaaje?tupeni taarifa kamili tujue vigezo

    akinamama mko juu safi sana sana,mmependeza munoo,kazeni buti msijali vilanga vya wanaume

    hahahaaa wanaume mwaona wake zenu?

    ReplyDelete
  7. jamani wewe anonymous wa tatu unasema umemuona mtu kama mindi? ni mindi yupi? wa weruweru au? hata mimi namfananisha vile

    ReplyDelete
  8. Hongera sana shemeji Esther W. Je Unity of Women Friends mnayo tovuti? Nimependa sana kujituma kwenu. Duu magoli si kidogo. Alafu ni magoli yanayo jenga. Ndio ubunifu na uongozi huo. Haya na ngoma itambae, mpaka watu washangae.

    Ni mie mdau damu damu wa blogu ya jamii

    ReplyDelete
  9. Haah Anon wa pili umenifurahisha.. kweli huyo MM haipiti siku bila kuwepo humu , aona michuzi ana commision hapo

    ReplyDelete
  10. mh MM mumewe mzungu hajui kiswahili sasa wewe ni mume mdogo au

    ReplyDelete
  11. ...mbona wanawake wamekaa kivyao na wanaume kivyao?

    michu na tangazo la kupigia debe wana-CCM wa baadae uyo MM

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...