JK na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mzee Rashid Mfaume Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili leo jioni. Kulia ni profesa Victor Mwafongo. Mzee Kawawa alipelekwa hapo Muhimbili baada ya kujisikia vibaya na kupelekwa hapo kwa kuangaliwa. Vipimo vinaendelea kujua anasumbuliwa na nini na hali yake ni stable.
Picha na Freddy Maro wa Ikulu.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 9 mpaka sasa

  1. I wish you a quick recovery, mzee wangu.

    ReplyDelete
  2. Pole sana mzee wetu kawawa tunakuombea kwa mungu upate afya njema!!!
    mdau north america!

    ReplyDelete
  3. Ugua pole mzee kawawa.

    ReplyDelete
  4. Mzee Kawawa Simba wa Vita ameshatutoka jamani.

    Mdau Tandale kwa Mtogole

    ReplyDelete
  5. RIP mzee wetu.

    Pole sana dada yetu Zamaradi kwa kuondokewa na kipenzi baba yako. Tupo pamoja katika wakati huu mgumu uliokuwa nao.

    Mwanjaa

    ReplyDelete
  6. Mzee michuzi angalia taarifa inayotolewa kimakosa...maelezo ya picha ya juu yanatakiwa yawekwe chini!!!! muwe mnafanya editiing ya hizi taarifa..
    RIP Kawawa.

    DJ

    ReplyDelete
  7. JK alikuwa ameenda kuchukua wosia. Magwanda yanasema ICU. RIP Kawawa

    ReplyDelete
  8. Madaktari walijitahidi ila Hesabu ya mzee ilikuwa imeshafungwa na mungu muumba RIP.

    Tanzania ni nchi kubwa sana nina imani kuwa tungekuwa na facilities kama hizi za kutosha basi tungeweza kuzuia vifo vya watanzania mahospitalini kwa 50%. Ila tatizo ni kuwa Muhimbili ina vitanda 1,000 vya kulaza wagonja na still ICU ina vitanda vinane tu (8 ICU beds). Tujitahidi basi angalau tufikie hata 100 hivi LOL. Natumai JK kajionea mwenyewe alipoenda kumjulia hali ambaye ni marhum Kawawa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...