Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. I CAN UNDERSTAND KWA NINI HAWAKUSHANGILIA MPAKA ALIPOIBUKA TOKA KWENYE HILO DUMU LA MAJI, WALIHISI AME-R.I.P

    ReplyDelete
  2. Watu wanaweza ona kama kitu cha ajabu sana. Ila kwa wale tunaoifahamu Physics tunajua kuwa hiyo ni "PROJECTILE", yaani kilichofanyika hapo ni kutengeneza Trajectory njia atakayopitia juu kelekea kwenye dimbwi hewani. Huo mseleleko umetengenezwa kwa ajili ya kupata kitu inaitwa "INITIAL VELOCITY" au mwendokasi mwanzio halafu wakapima na uzito wake kupata kitu kinaitwa "mg" yaani m=mass na g= gravitional force. Baada ya hapo wakapiga mahesabu ya "HORIZONTAL RANGE"-yaani umbali kutoka atakaporukia mpaka atakapotulia wakaweka maji

    ReplyDelete
  3. We PhysiCist acha kamba, what if upepo unaifluence hiyo trajectory? Si anavunjika mtu kiuno huyo baada ya kutua ardhini?
    Michuzi una maana gani kuweka michezo hii ya hatari? unataga watu waige sio? soccer limetushinda itakuwa michezo hii?

    ReplyDelete
  4. We anon wa Fri Jan 01, 08:56:00 AM

    Tatizo lako ulihudhuria shule tu na ukaishia keepleft cha shule ya uhuru, yaani ulipata "Division Zero" kwa uthibitisho zaidi naomba unieleze maana ya maneno haya uliyoandika.
    1. ifluence
    2. unataga watu waige

    Kwa taarifa yako hizo assumptions unazotaja wewe zinategemea na location pamoja na wind speed (air resistance) ambapo kwa umbo(Body streamline)la huyu jamaa ni negligible. Hivi wewe unajua kitu kinachoitwa "Military"?, unafikiri targets huwa zinapigwa vipi kutokea kwenye manuari za kisheshi "Kilaza" wewe?. Hebu acha "ukilaza" wako kama umekosa cha kuchangia nafikiri ungekaa kimya. Mi nilidhani unakuja na maelezo ya kisayansi kumbe unataka kuleta ubishi wa kwenye vijiwe vya kahawa! rudi shule ukasome English course kwanza kabla ya kukosoa watu usiowajua.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...