Iddi Mohamed Azzan ameibuka kidedea baada ya kupata kura 6196, akifuatiwa na Mustafa Muro kura 3059 huku Shy-Rose Banji akipata kura 2830.
Wagombea wengine katika Jimbo hilo ni pamoja na;
Mpoki Mwambulukutu..... kura 985
Godwin Kabisa..... kura 443
Kakolwa Mbano..... kura 395
Nkuruma Munjori..... kura198
Mackdonald Lunyilija..... kura146
Issa Omari.....kura 111
Bakari Maige..... kura 98.
Jimbo la Kawe.
Katika jimbo hili Mwenyekiti wa Wazazi Wilaya ya Kinondoni Angela Charles Kizigha ameshinda kwa kupata kura 3140 akifuatiwa na Kippy Warioba aliyepata kura 2752 wakati Zainuddin Adamjee amepata kura 2466.
Wengine katika jimbo hilo ni;
Aric Suma..... kura 1576
Jumaa Pijei..... kura 646
Mohamoud Madenge..... kura 588
Margaret Lema..... kura 443
Dr Malima Bundara..... kura 340
Faustin Kikova..... kura 240
Omary Wahure..... kura 214
Dr Petrnilla Ngiloi..... kura 191
Harold Maruma..... kura 172
Biton Mwenisongole..... kura 160
Elias Nawera..... kura 140
Japhet Robi..... kura 78
Nicodumus Chegula..... kura 68.
Jimbo la Ubungo
Hawa Mgonja Ng'umbi ndiye anayeng'ara katika matokeo ya uchaguzi wa kura za jimbo hilo ambapo amepata kura 7970, akifuatiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Shamsa Mwangunga aliyeambulia kura 6998 wakati Nape Nnauye akiondoka na kura 3734.
Matokeo ya wagombea wengine katika jimbo hilo;
Alfred Nchimbi..... kura 848
Michael Lupiana..... kura 516
Perpetua Haule..... kura 393
Dr Apollo Kissai..... kura 316
Peter Msuya..... kura 216
Assumpta Nalitoleta....192
Gaspar Hizza..... kura 181
Eliona Nkya..... kura 159
Slaus Mwisomba..... kura 158
Zangina Zangina..... kura 107.
Naye Woinde Shizza wa Globu ya Jamii Arusha anaripoti kwamba matokeo ya kura za maoni kwa upande wa ubunge jimbo la arusha Dk. Batlida Burian amepatakura 9970 na aliyekuwa mbunge wa miaka 5 iliyopita Mh. Felix Mrema amepata kura 4347, Dk. Hamis Said Kibola amepata kura 834, Deogratias Mtuo amepata kura 268, Aloyce Peter Kilimbo amepata kura 116, Michael Sekajingo amepata kura 105. Hivyo mshindi ni Dk. Burian
Kwa uapnde wa ubunge jimbo la aAumeru Magharibi Bw. Goodluck Joseph ole Medeye ameibuka mashindi na kummwaga aliyekuwa mbunge wa miaka 5 E Mh. Elisa Mollel na wengineo walioshinda ni Jeremiah Sumari katika jimbo lake la Meru.
Masikini nanihii wa Muzumbe Yunivesiti ya kule Mologolo. Naona ngoma haijaitikia.
ReplyDeleteMasikini babake muzee ya watu iliacha nafasi yake ya Udiwani akidhani angepata Ubunge kwa ajili ya biashara! Ndiyo maana tukamuuliza inawezekanaje biashara na siasa, pole muzee!
ReplyDeleteMpiganaji Mpumilwa vipi? Tulikuwa tuna enjoy alivyokuwa anatu update na picha za kampeni yake. Amepigwa chini nini? Mbona kimya?
ReplyDeleteYES YES YES GO GO GO SLAA YES GO TO POLITICAL OBLIVION. NENDAAA NA USIJE KUSIKIKA TENA. Mijitu mingine inashangaza. Unamfananishaje Obama na SLaa. Maana najiuliza nani mzungu na nani mwenye asili ya kiafrika hapa kati ya JK na SLaa. Tumieni akili mnapotoa mifano jamani. Aaghh!!!
ReplyDeleteNdugu yangu Michuzi naomba unisaidie, Jimbo la Kalenga kashinda Kandoro au Dr.Mgimwa? maana leo utasikia Kondoro kashinda na baada ya muda Dr.Mgimwa kashinda, hii inanichanganya. Nipe ukweli.
ReplyDeleteNina wasi wasi Mpumila hatutakuanae tena kwenye jengo letu. Ila hata kamam kapigwa kibuti bora angetuma breaking nyuuuuzi ili sie wanae wa blogu hii tujumuike nae. Maana yeye ni mwenzetu hata kama atakuwa nje kisiasa.
ReplyDeleteNkyabo - Bongo