Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Bi.Tully Esther Mwambapa akimkabidhi Mkuu wa kitengo cha Usalama barabarani cha Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga mojawapo ya vizibao 500 vilivyotolewa na benki hiyo ambavyo vitatumiwa katika mpango mpya wa jeshi la polisi wa kusaidia wanafunzi katika vivuko vya barabara "Scholar Patrol"
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Bi.Tully Esther Mwambapa akizungumza katika hafla hiyo, kulia ni Mkuu wa kitengo cha Usalama barabarani cha Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Bi.Tully Esther Mwambapa na Mkuu wa kitengo cha Usalama barabarani cha Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga wakifurahi baada ya kukabidhiana vifaa hivyo
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Bi.Tully Esther Mwambapa akizungumza katika hafla hiyo, kulia ni Mkuu wa kitengo cha Usalama barabarani cha Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Bi.Tully Esther Mwambapa na Mkuu wa kitengo cha Usalama barabarani cha Jeshi la Polisi Kamishna Msaidizi Mohamed Mpinga wakifurahi baada ya kukabidhiana vifaa hivyo
jamani nchi yetu itapata neema tukianza kuelewa umuhimu wa VULNERABLE groups hasa kuinvest kwa watoto kuliko kwa wenye nafasi ndo matumbo mbele.HEKO KWA BANK YETU.
ReplyDeleteKaka huyo Tuli me huwa namzimiaga sana huyo!
ReplyDeleteSijui nifanyeje!