Mwaendeshaji wa mtandao wa MAX COM,Juma Rajabu akitoa ufafanuzi juu ya matumizi mtandao wake katika mkutano wa wataalam wa ICT uliofanyika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Mmoja wa waanzilishi wasimamizi wa mtandao wa Mobile Monday (MoMo),Anthony Kigombola akizungumza katika mkutano wa wataalam wa ICT uliofanyika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Mmoja wa waendeshaji wa mtandao wa E FULUSI AFRICA,Hafiz Juma akitoa ufafanuzi juu ya matumizi mtandao wao kwa matumizi ya kijamii katika mkutano wa wataalam wa ICT uliofanyika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Kiongozi wa Mkutano huo kwa siku ya leo,Dr. Raphael Mushi akitoa ratiba na mpangilio mzika wa mkutano huo.
Mdau Innocent Ephrahim kutoka Vodacom akitoa maelezo ya matumizi ya huduma za M-PESA kwa wataalam wa ICT waliohudhuria kwenye mkutano huo uliofanyika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar.
Baadhi ya wadau na wataalam wa ICT wakiofika leo jioni katika ukumbi wa Taasisi ya Sayansi na Teknolojia,Kijitonyama jijini Dar wakifuatilia mkutano huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. ili kushiriki makongamano hayo ya ICT inabidi mtangazie umma walau kabla ya siku mbili, haina maana kutuletea picha tayari nyie mmeshashiri. next time tangazeni mapema na sisi tushiriki

    ReplyDelete
  2. We anon wa hapo juu inaelekea wewe si mdau wa ICT. Ungekuwa mdau wa kweli ICT ungekuwa ushatembelea website yao na kujiunga kwenye mailing list ili kupata taarifa za mikutano, n.k.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...