Home
Unlabelled
hepi besdei ya kuzaliwa joseph kusaga kisiwani mbudya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Da.....
ReplyDeleteParty ya Mbongo miziki ya kizaire????!!!! Taaaaaaabu kwelikweli, yaaani siamini muzik fan kama wewe hujaona miziki mizuri ya kibongo ya kupiga kwenye birthday yako. very disapointing
ReplyDeleteOk Endelea kutangaza miziki ya kizaire, kwani wabongo ndivyo tulivyo, kazi yetu ni kuthamini na kutukuza vya wenzetu.
bytheway happy bithday hope u had fan.u know the only way to live longer is to enjoy ya life and that is exactly what ya doing.
hongera sana kusaga kwa kusheherekea siku yako ya kuzaliwa.
ReplyDeleteumenipa fundisho,
mbongo mwenzio kutoka Houston.
haya huyo jamaa ndiyo joseph kusaga mimi nilifikiri yule mwanzilishi wa kituo cha clouds ndiyo mwenye sherehe naomba nifahamishwe
ReplyDeletehuyo ni Joseph kusaga mtoto wa mwanzilishi wakituo cha clouds,i mean muasisi wa clouds ni hayati mzee Alex kusaga....na huyo ni kijana wake ambae ni msimamizi mkuu wa kituo cha clouds,pia ni mdogo wa Justin Alex kusaga mzee vuta raha......
ReplyDeleteBy Jose Kundi-Arusha city.
Congratulation Mr Joseph Kusaga,mungu akuzidishie miaka mingi ya amani na upendo..
ReplyDeleteSasa mbona hamjasema miaka aliyofikisha au ndio nanihii...
ReplyDeleteWatanzania ushamba.com...sasa huyu kwenye Micro alikua anafanya nini anaimba Wenge?? Hebi Besdei muzee wa muji.
ReplyDeletepombe mbaya kweli!!mcheki Gerald Hando hapo kashazima kabisa.
ReplyDelete