Mbunge kutoka baraza la wawakilishi, Mh. Mussa Hamisi Silima apata ajali Dodoma jana jioni akitokea Dar es salaam kuelekea Dodoma akiwa na familia yake. Kwa mujibu wa Spika Anne Makinda, Mkewe Mwanaheri Fahari, amefariki dunia. Mh Silima alikuwa ametokea zanzibar kwenye mazishi.
Maiti na Majeruhi wanatarajiwa kusafirishwa asubuhi hii kwa ndege kwenda Zanzibar.
Mola aiweka Roho ya marehemu mahali pema
peponi na awajaalie walioheruhiwa kupata ahueni haraka
Ishallah mungu amsamehe madhambi yake marehemu na amlaze mahala pema peponi amin
ReplyDeleteI can imagine, msiba juu ya msiba. poleni sana
ReplyDeleteIna lilah waina ilaihi rajiun, poleni sana kwa msiba inshallah Mungu amjaalie pepo.
ReplyDeleteMwenyezi mungu azilaze roho za marehemu mahali pema peponi Amin
ReplyDelete