Soko la mwanjelwa linavyoteketea kwa moto eneo la sido jijini mbeya,chanzo cha moto huo mpaka sasa hakijajulikana |
Moto mkubwa ukiendelea kuwaka |
Baadhi ya mabanda sokoni hapo tayari yameteketea kabisa na moto |
Kufa kufaana....... kibaka tayari ameshaiba na huyooo anatimka zake. |
Dada nae hayuko nyuma katika la kujisevia bidhaa sokoni hapo, keshachukua kapeti na kutokomea nalo. kwa picha Zaidi Bofya hapa |
Jamani kwa nini huu mkoa wa Mbeya una tatizo hili la kuungua masoko ??Kila kukicha soko limeungua nadhani kuna sababu maalum na kunahitajika uchunguzi wa kina.Na tabia ya kushangaza nchini mwetu kwa nini haya mazimamoto huwa yanakuwa mabovu na pia kuenda ktk matukio bila maji ??Hii yote ni watu kutowajibika na pia uongozi mbaya,Tumefikia miaka 50 sasa tangu tupate uhuru wetu na bado tunakuwa na matatizo ya kijinga kama haya,afadhali hata enzi za wakoloni uzembe huu haukuwepo,kujitawala isiwe ndiyo sababu ya kuwa wazembe na kutowajibika katika kazi zetu.kweli bongo tambarare !!!!
ReplyDeletePoleni sana ndugu zangu wa Mbeya.
ReplyDeleteLakini mbona moto umezidi tena kila siku sokoni kunaungua kunani?
Sidhani kama kuna haja ya kuwalalamikia watu wa fire kwa kuwa na magari mabovu. Wakupewa lawama ni serikali kwa kushindwa kutoe vitendea kazi vya kuaminika kwa fire brigades zote za Tanzania.
ReplyDeleteNyie watu wa faya kuweni wabunifu katika kutafuta fedha za kuboresha huduma zenu, sio kila kitu serikali tu. Ninyi pia ni serikali kwa vile mu sehemu yake. Come on guys, change!
ReplyDeleteWe need a special strategy for TZ when dealing with accidents. In this case, there is a fire truck but no water and the truck is not working. Small businesses can not afford fire extinguishers. Fire trucks and fire extinguishers are not manufactured locally. Are they insured? The strategies that are applied in Ughaibuni can not work in TZ. Is there enough funds to finance accident prevention program?
ReplyDeletePoleni sana ndugu zangu wa MBEYA, ila kama gari ya zima moto ilifika haina maji kwenye tank lake ni makosa,lawama sijui apewe nani kwani umeme shida ukirudi unaleta maafa.
ReplyDelete